THE GEEK
Member
- Dec 10, 2010
- 90
- 32
Jombi mbona umeweka link bila kuitolea maelezo ili imshawishi mtu kufuata hiyo link isije ikawa ule utaalamu tuliyofundishwa na mr KAMATA MWIZI MEEN! Wewe ndo unataka uutumie kuwahadaa watu. Binafsi nasikia blogspot ni mali ya google japo sifaham fb ni ya nani sasa nashindwa kuweka uwiano.
hapo jombi nimekupata vizuri. Ngoja nifuate link nita com beki kwa mrejesho.hapana Jombi, hapa hakuna utaalam wowote, lengo la kuweka link ni uone jinsi gani blogspot ilivyotengenezwa na kuwa kama facebook, hii inaweza kuwa somo kwa web designers wetu bongo kwamba panapo CSS hakuna kinachoshindikana.fuata link uone zinavyofanana.
hapo jombi nimekupata vizuri. Ngoja nifuate link nita com beki kwa mrejesho.hapana Jombi, hapa hakuna utaalam wowote, lengo la kuweka link ni uone jinsi gani blogspot ilivyotengenezwa na kuwa kama facebook, hii inaweza kuwa somo kwa web designers wetu bongo kwamba panapo CSS hakuna kinachoshindikana.fuata link uone zinavyofanana.