chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Yani fb mtu kaenda mbuga za wanyama,ataandika,kapata mume mpya itaandikwa,kaachwa itaandikwa pia,mpaka kudo... wataandika sasa khaah.kule kweli kwa watoto nimeamini...naifagilia jf ipo juu..
Yani fb mtu kaenda mbuga za wanyama,ataandika,kapata mume mpya itaandikwa,kaachwa itaandikwa pia,mpaka kudo... wataandika sasa khaah.kule kweli kwa watoto nimeamini...naifagilia jf ipo juu..
never on earth, fb hailinganishwi! kama hakufahamu ndo mtandao unaongoza duniani! we ulinganisha na jf! ni sawa na kilinganisha babu na mtoto kwa age!
unaongoza kwa kitu ganai? Au nawe unashabikia huo mtandao wa ki freemasons? Jf ni mwanzo mwisho kwetu sisi, jf kwa local web hapa bongo na huenda hata east africa unaongoza, its highly displinary network.
Jf sio mtandao wa kukutana na kutafutana na kuchumbiana.....pole.hukusema local web, bt fb unaweza mtafuta m2 mliepoteana toka nursery! shida ya hapa ni nick name nyingi, dingi anaweza akatoa mada ya manzi ake nawe ukachangia bila kujua!
never on earth, fb hailinganishwi! kama hakufahamu ndo mtandao unaongoza duniani! we ulinganisha na jf! ni sawa na kilinganisha babu na mtoto kwa age!
Kudos!unaongoza kwa kitu ganai? Au nawe unashabikia huo mtandao wa ki freemasons? Jf ni mwanzo mwisho kwetu sisi, jf kwa local web hapa bongo na huenda hata east africa unaongoza, its highly displinary network.
mmmmhhhh haya!never on earth, fb hailinganishwi! kama hakufahamu ndo mtandao unaongoza duniani! we ulinganisha na jf! ni sawa na kilinganisha babu na mtoto kwa age!
usiulaumu mtandao wa FB...walaumu watumiaji..tena inawezekana hao ambao ni ma friends zako maana hao ndo wanaandika mambo hayo na sio mtandao ndo unafanya mambo hayo...mi si mtumiaji sana wa FB ila nilishaitumia sana tu kwa kufanya business zangu za kikazi..na bado naendelea kuitumia kwa shughuli hiyo tu...kuna watu wana business zao za maana tu pale FB na wanafaidika...pia kuna watu wanapata vitu vya maana tu hapohapo...inategemea wewe unatafuta nini...kumbuka ule ni mtandao huru wa kijamii na ukisema kijamii we mwenyewe unaelewa inamaanisha nini...!! so usiulaumu mtandao...laumu watumiaji wa huo mtandao(haswa hao rafiki zako wanaoweka hivyo vitu vya kishenzi na wewe kuviona)..kumbuka mle mle FB kuna watu wanatumia kama njia ya kupata habari mbalimbali mfano kuna hadi makanisa yanapost masomo yao au ibada zao live kwa wale wanaokuwa mbali na kanisa mda huo na watu wana benefit!! kuna majukwaa mengi tu ya maana..na isitoshe hizo post zote za kijinga si ni kwa sababu wewe mwenyewe ndo una comment kuchochea huo ujinga uendelee..unafkiri mfano ingekuwa hamna mtu anacomment kwenye status kama hizo kuna mtu angetuma tena?? Au kum discourage mtu kwa post yake (kama ambavyo mtu akipost utumbo humu JF tunavyomfanya) unafkiri nani angepost utumbo!?? so wakulaumiwa sio mtandao...bali ni hao marafiki zako na wewe mwenyewe ambao tayari mnaingia huko mkiwa na nia kabisa ya kutafuta upuuzi....Yani fb mtu kaenda mbuga za wanyama,ataandika,kapata mume mpya itaandikwa,kaachwa itaandikwa pia,mpaka kudo... wataandika sasa khaah.kule kweli kwa watoto nimeamini...naifagilia jf ipo juu..
Jf kijasusi zaidi. Fb kirafiki zaidi. You can't compare, tusidanganyane. Mahitaji yako ndiyo yatakufanya uamuwe kipi bora kwako. Tuwache unazi na ushabiki. Ushabiki ndiyo unafanya hata Taifa letu lisiwe na sera wala muelekeo. Ingekuwa uraia wa nchi haubadiliki kama kabila, mi saa hizi nishakufa kwa mawazo na majuto ya kuzaliwa Mtanzania.
unaongoza kwa kitu ganai? Au nawe unashabikia huo mtandao wa ki freemasons? Jf ni mwanzo mwisho kwetu sisi, jf kwa local web hapa bongo na huenda hata east africa unaongoza, its highly displinary network.