King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,601
- Thread starter
- #21
Si wako busy wanaponda fb? Ila kila kukicha wanaomba fb name, ku-pm humu wanamuogopa eliza wa salasala,lol
Neno hilo watu wanafiki kweli,ndo maana nikadeclare kwamba mi natumia fb lkn kuna watu kama kina dar si lamu hawataki kukubali wakati wana accounts fb hata nne