1. M-inbox huyo mtu via facebook ukimwuliza mahali alipo.
2. Mwulize kama kuna uwezekano wa yeye kukutana na wewe.
3. Baada ya kukutana mtaweza kuongea face to face kama unavyotaka.
Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuongea face to face huku facebook ikiwa imefanikisha face to face communication.
1.unatakiwa uwe kwenye pc,sijui kama kuna simu zinasupport hii mambo
2.huyo mtu wako anaatakiwa awe online
3.kama yupo online fanya kama unaataka kumtext ili kale kasehemu cha kuchat katokee pale chini
4.hapo utaona options ikiwepo video calling (itatokea kama kikamera hivi)
5.bonyeza hapo itakwambia uinstall drivers flani hivi,utadownload kupitia link watakayokudirect(hii step siyo ya lazima kama tayari drivers zipo installed)
6.install,kisha rudi fb,call tena itaanza kumpigia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.