TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Watu weweeeeeeeeeeeeeee.Tatizo jana umechonga sana mtu wangu,ukajisahau kabisa kwamba na wewe leo unatakiwa kuvuka mto wenye MAMBA wakali....Lol.Na bbaado
Mkuu....
hakuna msiba usio na mwenzake, Mr Bean [Wenger] na "Sir fungus on" saa hii wanapeana vi-sms vya nafuu maana wamelazwa wote wadi ya majeruhi wa FA
poleni