muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
kuna wanafunzi ambao nawajua, walikuwa wazuri sana walipkuwa seminary school, kwa bahati ni wale waliokuwa wakiongoza shule zao kila miaka yaani 10 bora. lkn wanpokua vyuo vikuu huwa tofauti, yaani ukionyeshwa unaweza ukasikitika, ukahoji ulazima yeye kupata madaraja makubwa hayo. yaani ni mzigo darasani. hupitwa kabisa na wale wa div 3 shule za kata, shule za gov na shule nyengine.kwa tabia ni zile zile no change, kilichochenj ni matukio ya mitihani
supp kwake jambo la kawaida, mchango wake kwa wanfunzi wenziwe ni mdogo sana.
masomo ya chuo ni magumu?
supp kwake jambo la kawaida, mchango wake kwa wanfunzi wenziwe ni mdogo sana.
masomo ya chuo ni magumu?