Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,666
- 4,999
Kwa wale wenye experience ya kuomba F1 Student visa pale Consular Section, US Embassy, naomba ushauri kuhusu Student Visa Requirements
(haswa Documentation Requirements) za USA Embassy pale Dar.
Tuseme Mwombaji keshatumiwa Form I-20 na Chuo kutoka US
1. Jee, huwa wanadai kuwa mwombaji atoe ushahidi wa vyeti vya shule vya sekondari (original school certificates, transcripts etc)?
2. Jee, ni lazima mwombaji kutoa ushahidi kuwa atarudi Tanzania baada ya masomo?
3. Jee, ni lazima mwombaji aonyeshe TOEFL Scores hata kama shule anayoenda kusoma Marekani imemkubali bila kufanya mtihani wa TOEFL?
4. Ni maswali ya aina gani wanauliza kwenye Visa Interview?
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wenu!
(haswa Documentation Requirements) za USA Embassy pale Dar.
Tuseme Mwombaji keshatumiwa Form I-20 na Chuo kutoka US
1. Jee, huwa wanadai kuwa mwombaji atoe ushahidi wa vyeti vya shule vya sekondari (original school certificates, transcripts etc)?
2. Jee, ni lazima mwombaji kutoa ushahidi kuwa atarudi Tanzania baada ya masomo?
3. Jee, ni lazima mwombaji aonyeshe TOEFL Scores hata kama shule anayoenda kusoma Marekani imemkubali bila kufanya mtihani wa TOEFL?
4. Ni maswali ya aina gani wanauliza kwenye Visa Interview?
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wenu!