Wakuu,kuna mdogo angu amemaliza kidato cha sita,amepata Div 1..EC B, GEOG B,HISTORY C (HGE) , tatizo linalo msumbua ni F yake ya math o'levo na A' levo alipata F ya BAM. Anataka asome BAED Economics&Geog,sasa kinachomchanganya ni hiz F za hesabu je,anaweza pata nafasi kwa kusomea ualimu wa ECONOMICS na GEOGRAFY pale UDSM? mawazo yenu yanahitajika wakuu tumsaidie huyu dogo.