Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikanywe Mbege na kisusio babaangu shikamoo mwananguAiseee babaangu hasante kwa kutuhabarisha endelea kutupa update mkuu
Mkutano kuanzia 8-12, jumanne, hayo si ni masaa ya kazi?[/QUOTE].....
Atakuwa Liwalo na Liwe...plus dhaifu lao ni moja!
Yaani ninatamani KIBABU BACHELA ajichanganye wamtengue nyonga.
Wadau mbona inasemekana kuwa Chadema wamepewa Kibali cha mkutano lakini katika ratiba yao waliyowasilisha makao makuu ya polisi Iringa ndo ika-include na maandamano ambayo ni kinyume na makubaliano ya awali? Hebu wadau (mlio karibu na maofisa wanaoratibu huo mkutano hapo Iringa) mtujuze lipi ni sahihi na hata kama kuna Afisa yeyote wa Polisi ama Polisi yeyote anayejua hili hapo Iringa na ni member wa Jamvi atupe ukweli. Hatutaki DAMU kuelekea ukombozi halisi wa nchi hii hapo 2015.
Mkutano kuanzia 8-12, jumanne, hayo si ni masaa ya kazi?[/QUOTE].....
Mkutano kuanzia 8-12, jumanne, hayo si ni masaa ya kazi?
ndoto ameshindwa mtu na udhaifu wake na usalama wake ikawe ndo maombi yawe mchumia tumbo