Ezekiel Wenje apata ajali, yu mzima..!

magode

JF-Expert Member
Oct 2, 2014
2,201
3,322
1455449227674.jpg


1455449262481.jpg



Gari lililokuwa likiendeshwa na aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana, Ezekiel Wenje limepata ajali maeneo ya Magereza Bariadi mkoani Simiyu mchana wa leo baada ya kuacha njia na kugonga mtaro na kisha kuanguka.

Ndani ya gari hilo alikuwepo pia Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Gimbi Masaba na Mwandishi wa habari wa Tanzania Daima, Sitta Tuma. Wote wamepata majeraha.
 
pole sana kamanda wenje 'kwl ccm haijafanya chochote miaka 50, mpaka kamanda unapata ajali!!?'
 
Pole kiongozi,jamaa wanajua kesi unashinda so wanataka kutumia njia nyingine
 
Back
Top Bottom