Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Eeehh hii mitu ya gibande ya gaskazini mwa inji yetu inatuzidi marifa!
Ati wamefanya promosheni kwenye Televisheni huku Marikani wakijitanga-tangaza.
Masaa mawili vile nakaa natazama Televisheni kuiangalia Kenya. Yuko yule mjamaa alichezaga James Bond, Sir Roger Moore, yuko yule Mniga wa An Officer and Gentlemen Louis Gossett na hata kuna kabinti moja wa American Pie nafikiri vile Shannon Elizabeti.
Hawa jamaa watembea kwa Kenya kwa vijiji na porini waongelea Kenya. Jamani nasikia farijika twasifika namna hii.
Najivuniaga Ukenya wangu ati tumetoa mbegu ambayo ndio yaja kuwa Raisi wa Marekani.
Wale jamaa zangu wa Kiswahili mirefu kazi yao kuji-bosti tuu na yule myanki President wao anayecheka. Jamaa kaendaga kwa Bush kuliko safari zote za Moi na Kibaki together jamani. Lakini husikiagi wakisemwa sana kwenye mambo ingine.
Hawa jamaa wabishi vile utafikiri wao ndio wanajua sana. Si ulionaga Wanjiru alipoimbiwa national anthem pale ameshinda Gold ya marathon?
Waache wapande mori sisi tunajitangaza na sasa Rais wa Marekani ni damu yetu.
Otholong'ongo na Mama Kayai wanapenda msalimia Mzee Kipara na Mzee Jongo.....
2 damn hours of Dean Cain "eyes on Kenya" WaTz watalia chozi la pilipili na Kilimanjaro yao...
Dean Cain: 'Eyes on Kenya' - CNN.com
Eyes on Kenya - AOL Television
Ati wamefanya promosheni kwenye Televisheni huku Marikani wakijitanga-tangaza.
Masaa mawili vile nakaa natazama Televisheni kuiangalia Kenya. Yuko yule mjamaa alichezaga James Bond, Sir Roger Moore, yuko yule Mniga wa An Officer and Gentlemen Louis Gossett na hata kuna kabinti moja wa American Pie nafikiri vile Shannon Elizabeti.
Hawa jamaa watembea kwa Kenya kwa vijiji na porini waongelea Kenya. Jamani nasikia farijika twasifika namna hii.
Najivuniaga Ukenya wangu ati tumetoa mbegu ambayo ndio yaja kuwa Raisi wa Marekani.
Wale jamaa zangu wa Kiswahili mirefu kazi yao kuji-bosti tuu na yule myanki President wao anayecheka. Jamaa kaendaga kwa Bush kuliko safari zote za Moi na Kibaki together jamani. Lakini husikiagi wakisemwa sana kwenye mambo ingine.
Hawa jamaa wabishi vile utafikiri wao ndio wanajua sana. Si ulionaga Wanjiru alipoimbiwa national anthem pale ameshinda Gold ya marathon?
Waache wapande mori sisi tunajitangaza na sasa Rais wa Marekani ni damu yetu.
Otholong'ongo na Mama Kayai wanapenda msalimia Mzee Kipara na Mzee Jongo.....
2 damn hours of Dean Cain "eyes on Kenya" WaTz watalia chozi la pilipili na Kilimanjaro yao...
Dean Cain: 'Eyes on Kenya' - CNN.com
Eyes on Kenya - AOL Television