NaimaOmari
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 801
- 46
"Kingunge: Tutaumaliza kabisa upinzani TZ" kwa pesa au ....maana wapinzani halisi wako kama wawili watatu tu mkiwamwagia mtama basi mnawamaliza kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhamira ya Rais, ambaye ndiye mwenyekiti wa chama cha Kingunge, ni kutouua upinzania. At least hivyo ndivyo alivyosema wakati wa hotuba yake Bungeni Desemba 2005. Sasa kama chama chake kinadhamiria kuufuta upinzani, tuelewe nini; kwamba rais, ambaye pia ni mwenyekiti wa chama kinachotaka kufuta upinzani, hakusema hayo kwa dhati ya moyo wake? Au kuna mapambano ya dnani ya CCM ambako limezaliwa kundi la akina Kingunge ambao wanataka kuua upinzani tofauti na dhamira ya rais?
Tatizo la Kingunge siyo usocialism bali ni Usisiem(U-CCM).Ni U-CCM ndiyo unaomfanya awe hivyo.Lakini kama kweli angeweza kuelewa japo punje ndogo ya misingi mikuu ya socialism asingeweza kutetea mafisadi au kuzuia wabunge wanaohoji juu ya ubadhirifu wa mali ya umma.
Wembe.