External hard drives zinauzwa.

makaomakuu

Member
Nov 17, 2010
46
4
WanaJf wote naomba kutoa tangazo la kuwa ninauza Portable external Hard disks za
Seagate.
500GB kwa Tshs 160,000/=
na
1TB kwa Tshs 230,000/=
unaweza kuzitumia kwenye operating system yoyote;Linux,unix,MAC OS,Windows...
Tunatoa offer mbalimbali linganifu na idadi ya disk utakazohitaji na hii ni maalumu kipindi hiki cha mwezi wa february(mwezi wa wapendanao)
Kwa atakaje hitaji naomba ani-PM.
Asante.
 
Mkuu mimi natafuta external CD ROM kama unazo nishtue!nina mini laptop nilikua nahitaji hiyo external CD ROM.
 
Umeulizwa ni Bamaga chocho zipi? watu wanataka wafike ofisini pasonali!

Kaka kwa sasa ndo bado tunahangaikia ofisi pamoja na TIN...Ila tunapatikana kwa mawasiliano ya simu tu..na ukihitaji vitu sisi tunafika hadi kwako na tunakuonyesha mzigo.
Asante.
 
Kaka kwa sasa ndo bado tunahangaikia ofisi pamoja na TIN...Ila tunapatikana kwa mawasiliano ya simu tu..na ukihitaji vitu sisi tunafika hadi kwako na tunakuonyesha mzigo.
Asante.


kuna guarantee hata ya wiki moja hapo kweli?
 
Wakuu mko juu! kwa hiyo kitu ikileta matata ndani ya mika mitatu mnanipatia nyuu wan? senks

Mkuu Amoeba huu ni wakatu Mzuri sana wa kutujua kama sisi ni wa ukweli au sio.Naomba ututafute na ununue disk hata moja tu afu endapo itaharibika hata kama ukiiangusha sisi tutakupa nyingine bila ya Longolongo.
Sisi tulishaondoka kwenye ujasiliamali wa uongo uongo tu .
Hatuna ofisi kwa sababu ambazo nilizieleza hapo juu.
Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom