Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
- Thread starter
- #21
hahhhaahhaha......wewe vipi mbona mzito hujui kwamba africom ndio inayoendesha mauaji huko libya kwa kisingizio cha kulinda waaasi ?mh lakini kumbuka kuwa gcc wana makubaliano ya kuwa nchi mojawapo ikiingiliwa au inapopata machafuko basi nchi mwanachama inaruhusiwa kwenda kuisaidia.
Africom inahusika vipi na middle east? Middle east inaangukia chini ya centcom ambayo ina ofisi zake doha, qatar iyo ya bahrain ni naval support center.