AL shabaab at work, some tribal clashes or electric shock ?
LIVE assuarance....just went off air. No grenade or Bomb blast. ITERE caregorical its an electrical fault, Kenya power fire marshalls at site
Raila Odinga anawazukumizia Al Shaabab wakati Orwa Ojode anasema ni shoti ya umeme. Wanasiasa ndo wanaoharibu mambo kwa kuzidi kuwachanganya wananchi.
kaburiniee mola ubinadamu ndo umetuisha kabisa sijui ndo tunaelekea wapi sasa!
kosa walifanya kuingilia somalia.....wamarekani wamewashindwa wakawasakazia wao....poleni sana ndugu zanguni