Kabuche1977
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 564
- 225
Mimi naunga mkono yote yalosemwa hapo juu, ila nakumbusha kuwa "SIO SIFA ZINAZOFANYA KAZI". Na hili ndilo tatizo letu, tunataka nafasi kwa sababu tuna "sifa", wakati kazi zenyewe kufanya kila siku ni "excuses tu". Hivi unadhani nani yuko tayari kumlipa mtu mwenye sifa asiyefanya kazi? Tubadilike, halafu utaona kama ataagizwa mtu nje !!!!
mi jamaa sikjakuelewa kabisa, make mjadala ni kuhusu hao expertriates wasiojua lolote, cha msingi mimi nimefanya kazi bongo na nafahamu kuhusu huu ukweli, tuna maex pertriates ambao ni ishu kabisa na kama sio ugomvi, utakuta jamaa alikotoka alikuwa mlinzi wa kasino and then analetwa bongo kuwa meneja wa tuseme labda kitengo cha metallurgy, so look the difference, au anakuwa snr supervisor labda wa production kwenye mine, so mtu kama huyu si maajabu hayo, badala ya kufanya kazi unakuta ni mtu wa mambo ya umbea kwa sababu hajui anachofanya.Kuna mfano mzuri tu, pale Geita gold mine kulikwahi kutokea miaka ya karibuni tu, jamaa alikuwa (by name Jordan) alikuwa Production meneja wakati hizo qualifications hana, elimu yake ni grade 12 ambay ni sawa na form six/four kwa hapo home Tz, wakati huo kuna watanzania lukuki wanamasters in Mining engineering, au honors degrees in the same profession, so hili linatakiwa kuangaliwa sana.