Exhibitors Complaints Against Sullivan Summit

Mfanyabiashara hapaswi kulalamika iwapo mteji avutiwi na bidhaa yake, anachopaswa kufanya ni kubuni mbinu za kumvuta. Iwapo atashindwa yeye ndio mwenye matatizo sio mteja.

Somo nililosoma hapa ni kwamba wafanyabiashara hao wa Tanzania wanaolalamika hawajui the very basic principle of marketing!
mzee nimekubali maoni yako 100% hawa walalamikaji walihaidiwa nini?
 
Huyu ni mdau aliyeko huko arusha
haya ni machache aliyo nayo


Ndugu Mtanzania,
Habari za leo ndugu yangu. Mkutano wa Sullivan umeingia mitini. Aliyefaidika na mkutano huu amefaidika na aliyeingia hasara kama kawaida ya mtu mdogo siku zote ameingia hasara."NO MAANDAMANO OK".
Nasema No Maandamano maana najua mnaogopa Mabomu ya machozi. Guneni tu kama kawaida yenu na mnyamaze. Mlikubali wenyewe kwa hiari yenu kujenga mabanda na kuyalipia bila kuuliza Mkutano unawahusu kina nani?,Unazungumzia nini?,watu wanaokuja wana uwezo gani? nk.
Sasa tuendelee na giza letu la umeme kama kawaida maana hiyo najua wazi kuwa tatizo la kukatika kwa umeme litaanza rasmi kuanzia leo. Tatizo la mji wetu wa Arusha kuwa mchafu litaanza kuanzia leo maana wageni waheshimiwa wameshaondoka. Tatizo la Wizi kama kawaida litaanza kuanzia leo maana wakubwa tayari wameshaondoka. Tumekuwa na mazoea hayo na ndio maana sisiti kuyaweka bayana. Tuna kawaida ya kunawa uso na kuoga wakati tukitembelewa na wageni tu.Hapo hakuna ubishi.
Tumejifunza yale yanayofaa kujifunza kutoka kwa wenzetu na tumeiga mengi mengi yanayofaa kuiga kutokana na ugeni huu. Ninachoiomba Serekali sasa ni kupima yepi yanafaa na yepi hayafai.
Kwa kuanzia naishauri Serekali isijaribu kuwekeza kwenye ardhi bila kuweka sheria mbadala wa jinsi gani iwekeze kwenye ardhi na mfumo gani utumike kuwekeza kwenye ardhi. Hii ni kuepuka matatizo yatakayojitokeza baadae kama yanayojitokeza sasa hivi kwa wenzetu Wakenya na Wazimbabwe. Mimi binafsi nataka kujua ni nchi ngapi za kiafrika zimewekeza kwenye ardhi na zimefaidika nini na uwekezaji huu, na zimefanikiwa kiasi gani?.Naamini kabisa muwekezaji mzuri kwenye ardhi ni raia mwenyewe "NIKIMAANISHA MTANZANIA". Tatizo linalojitokeza ni kwamba hapewi kipaumbele na mitaji ya kutosha. Na hii haiwezi kutokea endapo viongozi hawataacha ubinafsi.Tuwekeze kwenye ardhi yetu wenyewe kwa kutumia watu wetu wa ndani. Tuwape mitaji. Kama mtu mmoja na Kiongozi wa Serekali anadiriki kukaa na Billioni 133 peke yake tunashidwa nini kupatia Watanzania wanaotaka kuwekeza kwenye ardhi mitaji?.Nikijaribu kurudi nyuma nakumbuka Serekali ilijaribu kuwekeza kwenye Madini lakini
sasa hivi migogoro iliyopo kwenye uwekezaji huu ni mikubwa sana kiasi hata imehusisha/kuhusisha baadhi ya viongozi wetu wengi kwa Rushwa na tulikuwa tunawaamini kwa uadilifu. Tuchunge sana uwekezaji katika Sekta ya ardhi kunatakiwa mikataba makini na ya mda mfupi. Kuwekeza kwenye ardhi tena kwa kuhusisha watu wa kuja ni utumwa uliojificha sana ambao unatakiwa umakini wa hali ya juu. Tusikimbilie tu wandugu wapenzi tufanye vitu kwa malengo tukiangalia miaka 40 hadi 60 mbele yetu.Tusije tukaingiza wajukuu wetu kwenye migogoro ya ardhi kama Zimbabwe na hata nchi jirani ya Kenya. Swala la migogoro iliyopo Kenya na na ambayo nakuhakikishia haijafikia mwisho imeletwa na tatizo la ardhi.
Vipindi vinavyotolewa na TBC na vyombo vingine vya habari kuzungumza maswala yanayohusu nchi kwa ujumla wakeni vifupi sana.Punguzeni vipindi vya muziki muongeze mda wa kuongea na wananchi kuhusu maswala ya nchi kwa ujumla.Sioni sababu ya kuwa na vipindi vitatu vya muziki kwa siku wakati mtu binafsi anaweza kwenda muziki saa ile anataka. Kuna umuhimu wa kuwepo vipindi vya kujadili maswala ya nchi kwa kuhusisha wananchi hata kama vipindi hivi vitakuwa mara tatu kwa siku.Wanaopiga simu ni wananchi hakuna shirika linaingia hasara ya mawasiliano.Narudia tena ongezeni mda wa kuongea na kuzungumza na Wananchi kutafuta ufumbuzi wa maswala nyeti yanayohusu nchi kabla ya kuyapitisha bungeni na kwenye kamati mbalimbali.Hapa uraiani ndio kuna wakereketwa wengi sana na ndio mahali pamejificha mambo mengi sana.
Mwisho nakuja kwenye maswala ya uwekezaji katika sekta inayoitwa ya Madini na Utalii. Bado Serekali haijaweza kudhibiti mapato ya Wawekezaji kwenye Sekta hizi mbili.Tujaribu kuboresha mikakati ya kudhibiti mapato ya Utalii na Madini kwa hasa hawa Wawekezaji kwani wakishaishika hii dola hautaiona tena bora Masawe ataenda kujenga hotel au kajumba ka kulala Moshi. Fedha inayopotea kwenye Sekta hizi mbili ni nyingi sana tofauti na faida anayobaki nayo mtanzanania wa ndani na ndio maana Shillingi yetu inazidi kuporomoka siku hadi siku.Tushirikishe wasomi kujadili hili naomba tafadhali sana. Fedha zetu zinazotokana na biashara hizi mbili zinabakia kwa kiasi kikubwa nje na zile kidogo zinazoingia pia zinahamishwa sana ndio maana shilingi yetu imeshidwa kabisa kuwa na soko. Hivi mbona naona kama tunao wasomi wengi sana wa unchumi kwa nini hatuligundui hilo?.Unaporuhusu fedha zitokanazo na maliasili yako kuvunwa hovyo unaporomosha uchumi wa nchi yako kwa kiasi
kikubwa sana.Tambueni hilo na mtafute dawa mapema ya kuboresha sera zetu za uwekezaji. Tutawekeza sana lakini mwisho wa siku kama hatutaweka mazingira thabiti ya uwekezaji tutajikuta miji inayojijenga kiuchumi ni miji ya ulaya, huku miji yetu kama Arusha, Dar es salaam Mwanza,Moshi,Mbeya,nk ikiendelea kuwa chakavu.
Kila la kheri wandugu wapedwa mkutano umeisha mimi narudi zangu kijijini na shida zangu kwa kuwa sikudanganyi "SULLIVAN" sijaokota kitu.Nimeona tu watu wakijichana Makuku kule Ngurudoto huku machinga wakichunga bidhaa zao za kuuza kule Nane nane pasipokuuza hata mkeka.
Lengai Ole Sailepi
Selela Kijiji cha ujamaa
 
Huyu ni mdau aliyeko huko arusha
haya ni machache aliyo nayo


Ndugu Mtanzania,
Habari za leo ndugu yangu. Mkutano wa Sullivan umeingia mitini. Aliyefaidika na mkutano huu amefaidika na aliyeingia hasara kama kawaida ya mtu mdogo siku zote ameingia hasara."NO MAANDAMANO OK".
Nasema No Maandamano maana najua mnaogopa Mabomu ya machozi. Guneni tu kama kawaida yenu na mnyamaze. Mlikubali wenyewe kwa hiari yenu kujenga mabanda na kuyalipia bila kuuliza Mkutano unawahusu kina nani?,Unazungumzia nini?,watu wanaokuja wana uwezo gani? nk.
Sasa tuendelee na giza letu la umeme kama kawaida maana hiyo najua wazi kuwa tatizo la kukatika kwa umeme litaanza rasmi kuanzia leo. Tatizo la mji wetu wa Arusha kuwa mchafu litaanza kuanzia leo maana wageni waheshimiwa wameshaondoka. Tatizo la Wizi kama kawaida litaanza kuanzia leo maana wakubwa tayari wameshaondoka. Tumekuwa na mazoea hayo na ndio maana sisiti kuyaweka bayana. Tuna kawaida ya kunawa uso na kuoga wakati tukitembelewa na wageni tu.Hapo hakuna ubishi.
Tumejifunza yale yanayofaa kujifunza kutoka kwa wenzetu na tumeiga mengi mengi yanayofaa kuiga kutokana na ugeni huu. Ninachoiomba Serekali sasa ni kupima yepi yanafaa na yepi hayafai.
Kwa kuanzia naishauri Serekali isijaribu kuwekeza kwenye ardhi bila kuweka sheria mbadala wa jinsi gani iwekeze kwenye ardhi na mfumo gani utumike kuwekeza kwenye ardhi. Hii ni kuepuka matatizo yatakayojitokeza baadae kama yanayojitokeza sasa hivi kwa wenzetu Wakenya na Wazimbabwe. Mimi binafsi nataka kujua ni nchi ngapi za kiafrika zimewekeza kwenye ardhi na zimefaidika nini na uwekezaji huu, na zimefanikiwa kiasi gani?.Naamini kabisa muwekezaji mzuri kwenye ardhi ni raia mwenyewe "NIKIMAANISHA MTANZANIA". Tatizo linalojitokeza ni kwamba hapewi kipaumbele na mitaji ya kutosha. Na hii haiwezi kutokea endapo viongozi hawataacha ubinafsi.Tuwekeze kwenye ardhi yetu wenyewe kwa kutumia watu wetu wa ndani. Tuwape mitaji. Kama mtu mmoja na Kiongozi wa Serekali anadiriki kukaa na Billioni 133 peke yake tunashidwa nini kupatia Watanzania wanaotaka kuwekeza kwenye ardhi mitaji?.Nikijaribu kurudi nyuma nakumbuka Serekali ilijaribu kuwekeza kwenye Madini lakini
sasa hivi migogoro iliyopo kwenye uwekezaji huu ni mikubwa sana kiasi hata imehusisha/kuhusisha baadhi ya viongozi wetu wengi kwa Rushwa na tulikuwa tunawaamini kwa uadilifu. Tuchunge sana uwekezaji katika Sekta ya ardhi kunatakiwa mikataba makini na ya mda mfupi. Kuwekeza kwenye ardhi tena kwa kuhusisha watu wa kuja ni utumwa uliojificha sana ambao unatakiwa umakini wa hali ya juu. Tusikimbilie tu wandugu wapenzi tufanye vitu kwa malengo tukiangalia miaka 40 hadi 60 mbele yetu.Tusije tukaingiza wajukuu wetu kwenye migogoro ya ardhi kama Zimbabwe na hata nchi jirani ya Kenya. Swala la migogoro iliyopo Kenya na na ambayo nakuhakikishia haijafikia mwisho imeletwa na tatizo la ardhi.
Vipindi vinavyotolewa na TBC na vyombo vingine vya habari kuzungumza maswala yanayohusu nchi kwa ujumla wakeni vifupi sana.Punguzeni vipindi vya muziki muongeze mda wa kuongea na wananchi kuhusu maswala ya nchi kwa ujumla.Sioni sababu ya kuwa na vipindi vitatu vya muziki kwa siku wakati mtu binafsi anaweza kwenda muziki saa ile anataka. Kuna umuhimu wa kuwepo vipindi vya kujadili maswala ya nchi kwa kuhusisha wananchi hata kama vipindi hivi vitakuwa mara tatu kwa siku.Wanaopiga simu ni wananchi hakuna shirika linaingia hasara ya mawasiliano.Narudia tena ongezeni mda wa kuongea na kuzungumza na Wananchi kutafuta ufumbuzi wa maswala nyeti yanayohusu nchi kabla ya kuyapitisha bungeni na kwenye kamati mbalimbali.Hapa uraiani ndio kuna wakereketwa wengi sana na ndio mahali pamejificha mambo mengi sana.
Mwisho nakuja kwenye maswala ya uwekezaji katika sekta inayoitwa ya Madini na Utalii. Bado Serekali haijaweza kudhibiti mapato ya Wawekezaji kwenye Sekta hizi mbili.Tujaribu kuboresha mikakati ya kudhibiti mapato ya Utalii na Madini kwa hasa hawa Wawekezaji kwani wakishaishika hii dola hautaiona tena bora Masawe ataenda kujenga hotel au kajumba ka kulala Moshi. Fedha inayopotea kwenye Sekta hizi mbili ni nyingi sana tofauti na faida anayobaki nayo mtanzanania wa ndani na ndio maana Shillingi yetu inazidi kuporomoka siku hadi siku.Tushirikishe wasomi kujadili hili naomba tafadhali sana. Fedha zetu zinazotokana na biashara hizi mbili zinabakia kwa kiasi kikubwa nje na zile kidogo zinazoingia pia zinahamishwa sana ndio maana shilingi yetu imeshidwa kabisa kuwa na soko. Hivi mbona naona kama tunao wasomi wengi sana wa unchumi kwa nini hatuligundui hilo?.Unaporuhusu fedha zitokanazo na maliasili yako kuvunwa hovyo unaporomosha uchumi wa nchi yako kwa kiasi
kikubwa sana.Tambueni hilo na mtafute dawa mapema ya kuboresha sera zetu za uwekezaji. Tutawekeza sana lakini mwisho wa siku kama hatutaweka mazingira thabiti ya uwekezaji tutajikuta miji inayojijenga kiuchumi ni miji ya ulaya, huku miji yetu kama Arusha, Dar es salaam Mwanza,Moshi,Mbeya,nk ikiendelea kuwa chakavu.
Kila la kheri wandugu wapedwa mkutano umeisha mimi narudi zangu kijijini na shida zangu kwa kuwa sikudanganyi "SULLIVAN" sijaokota kitu.Nimeona tu watu wakijichana Makuku kule Ngurudoto huku machinga wakichunga bidhaa zao za kuuza kule Nane nane pasipokuuza hata mkeka.
Lengai Ole Sailepi
Selela Kijiji cha ujamaa

.....Lengai Ole Sailepi
Pole sana. naamini hautoki ktk jimbo la mheshimiwa minywele myeupe ambapo alipokewa na wananchi kishujaa kwa kujiuzulu kutokana na tuhuma za kifisadi.....

Hivi ngurudoto ilikuwa kwa kadi?? hii ni shida kweli.....

Nagu umeonaaaaaa haya tafuta BANGUSILO wa hitima
 
Huyu ni mdau aliyeko huko arusha
haya ni machache aliyo nayo


Ndugu Mtanzania,
Habari za leo ndugu yangu. Mkutano wa Sullivan umeingia mitini. Aliyefaidika na mkutano huu amefaidika na aliyeingia hasara kama kawaida ya mtu mdogo siku zote ameingia hasara."NO MAANDAMANO OK".
Nasema No Maandamano maana najua mnaogopa Mabomu ya machozi. Guneni tu kama kawaida yenu na mnyamaze. Mlikubali wenyewe kwa hiari yenu kujenga mabanda na kuyalipia bila kuuliza Mkutano unawahusu kina nani?,Unazungumzia nini?,watu wanaokuja wana uwezo gani? nk.
Sasa tuendelee na giza letu la umeme kama kawaida maana hiyo najua wazi kuwa tatizo la kukatika kwa umeme litaanza rasmi kuanzia leo. Tatizo la mji wetu wa Arusha kuwa mchafu litaanza kuanzia leo maana wageni waheshimiwa wameshaondoka. Tatizo la Wizi kama kawaida litaanza kuanzia leo maana wakubwa tayari wameshaondoka. Tumekuwa na mazoea hayo na ndio maana sisiti kuyaweka bayana. Tuna kawaida ya kunawa uso na kuoga wakati tukitembelewa na wageni tu.Hapo hakuna ubishi.
Tumejifunza yale yanayofaa kujifunza kutoka kwa wenzetu na tumeiga mengi mengi yanayofaa kuiga kutokana na ugeni huu. Ninachoiomba Serekali sasa ni kupima yepi yanafaa na yepi hayafai.
Kwa kuanzia naishauri Serekali isijaribu kuwekeza kwenye ardhi bila kuweka sheria mbadala wa jinsi gani iwekeze kwenye ardhi na mfumo gani utumike kuwekeza kwenye ardhi. Hii ni kuepuka matatizo yatakayojitokeza baadae kama yanayojitokeza sasa hivi kwa wenzetu Wakenya na Wazimbabwe. Mimi binafsi nataka kujua ni nchi ngapi za kiafrika zimewekeza kwenye ardhi na zimefaidika nini na uwekezaji huu, na zimefanikiwa kiasi gani?.Naamini kabisa muwekezaji mzuri kwenye ardhi ni raia mwenyewe "NIKIMAANISHA MTANZANIA". Tatizo linalojitokeza ni kwamba hapewi kipaumbele na mitaji ya kutosha. Na hii haiwezi kutokea endapo viongozi hawataacha ubinafsi.Tuwekeze kwenye ardhi yetu wenyewe kwa kutumia watu wetu wa ndani.Tuwape mitaji. Kama mtu mmoja na Kiongozi wa Serekali anadiriki kukaa na Billioni 133 peke yake tunashidwa nini kupatia Watanzania wanaotaka kuwekeza kwenye ardhi mitaji?.Nikijaribu kurudi nyuma nakumbuka Serekali ilijaribu kuwekeza kwenye Madini lakini
sasa hivi migogoro iliyopo kwenye uwekezaji huu ni mikubwa sana kiasi hata imehusisha/kuhusisha baadhi ya viongozi wetu wengi kwa Rushwa na tulikuwa tunawaamini kwa uadilifu. Tuchunge sana uwekezaji katika Sekta ya ardhi kunatakiwa mikataba makini na ya mda mfupi. Kuwekeza kwenye ardhi tena kwa kuhusisha watu wa kuja ni utumwa uliojificha sana ambao unatakiwa umakini wa hali ya juu. Tusikimbilie tu wandugu wapenzi tufanye vitu kwa malengo tukiangalia miaka 40 hadi 60 mbele yetu.Tusije tukaingiza wajukuu wetu kwenye migogoro ya ardhi kama Zimbabwe na hata nchi jirani ya Kenya. Swala la migogoro iliyopo Kenya na na ambayo nakuhakikishia haijafikia mwisho imeletwa na tatizo la ardhi.
Vipindi vinavyotolewa na TBC na vyombo vingine vya habari kuzungumza maswala yanayohusu nchi kwa ujumla wakeni vifupi sana.Punguzeni vipindi vya muziki muongeze mda wa kuongea na wananchi kuhusu maswala ya nchi kwa ujumla.Sioni sababu ya kuwa na vipindi vitatu vya muziki kwa siku wakati mtu binafsi anaweza kwenda muziki saa ile anataka. Kuna umuhimu wa kuwepo vipindi vya kujadili maswala ya nchi kwa kuhusisha wananchi hata kama vipindi hivi vitakuwa mara tatu kwa siku.Wanaopiga simu ni wananchi hakuna shirika linaingia hasara ya mawasiliano.Narudia tena ongezeni mda wa kuongea na kuzungumza na Wananchi kutafuta ufumbuzi wa maswala nyeti yanayohusu nchi kabla ya kuyapitisha bungeni na kwenye kamati mbalimbali.Hapa uraiani ndio kuna wakereketwa wengi sana na ndio mahali pamejificha mambo mengi sana.
Mwisho nakuja kwenye maswala ya uwekezaji katika sekta inayoitwa ya Madini na Utalii. Bado Serekali haijaweza kudhibiti mapato ya Wawekezaji kwenye Sekta hizi mbili.Tujaribu kuboresha mikakati ya kudhibiti mapato ya Utalii na Madini kwa hasa hawa Wawekezaji kwani wakishaishika hii dola hautaiona tena bora Masawe ataenda kujenga hotel au kajumba ka kulala Moshi. Fedha inayopotea kwenye Sekta hizi mbili ni nyingi sana tofauti na faida anayobaki nayo mtanzanania wa ndani na ndio maana Shillingi yetu inazidi kuporomoka siku hadi siku.Tushirikishe wasomi kujadili hili naomba tafadhali sana. Fedha zetu zinazotokana na biashara hizi mbili zinabakia kwa kiasi kikubwa nje na zile kidogo zinazoingia pia zinahamishwa sana ndio maana shilingi yetu imeshidwa kabisa kuwa na soko. Hivi mbona naona kama tunao wasomi wengi sana wa unchumi kwa nini hatuligundui hilo?.Unaporuhusu fedha zitokanazo na maliasili yako kuvunwa hovyo unaporomosha uchumi wa nchi yako kwa kiasi
kikubwa sana.Tambueni hilo na mtafute dawa mapema ya kuboresha sera zetu za uwekezaji. Tutawekeza sana lakini mwisho wa siku kama hatutaweka mazingira thabiti ya uwekezaji tutajikuta miji inayojijenga kiuchumi ni miji ya ulaya, huku miji yetu kama Arusha, Dar es salaam Mwanza,Moshi,Mbeya,nk ikiendelea kuwa chakavu.
Kila la kheri wandugu wapedwa mkutano umeisha mimi narudi zangu kijijini na shida zangu kwa kuwa sikudanganyi "SULLIVAN" sijaokota kitu.Nimeona tu watu wakijichana Makuku kule Ngurudoto huku machinga wakichunga bidhaa zao za kuuza kule Nane nane pasipokuuza hata mkeka.
Lengai Ole Sailepi
Selela Kijiji cha ujamaa

Ulosema mengi yana maana Kubwa.

Kuna mfano mmoja ambao hawa so called Lawmakers wa Tanzania wanaweza kujifunza.

In Australia the only Piece of Land ANYBODY CAN EVER OWN, is just a few feets of the top layer for building Houses and other life necessities.

Anything below the required depth Requires a PERMIT to use or EXTRACT.I repeat, you only get a PERMIT to use. Here it includes drilling water well up to Extracting minerals like coal, diamond etc.

This simple BUT very useful Law in AUSTRALIA means that NOBODY will ever own the land or even own it for any specific time. People only get permits to use the Land and no otherwise.

So, if you go investing as a mining company in AUSTRALIA all you get is a permit to extract minerals on behalf of the AUSTRALIAN government. Hence the only profit you will get is your small commissions for helping the AUSTRALIAN government extract its Natural Resources. You will never OWN a GOLD mine there, you will never even own a well, and you are only given a permission to use the well.

Back in Tanzania it is all different.almost the other way around!
We are playing Poker with our Land on the line.WHAT THE HELL ARE WE THINKING?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom