Executive Solutions ndiyo inahusishwa na sakata la Jairo? - Marealle akanusha!

Let us not look at things in a narrow sense. We need to look at this in a broader perspective and address the issue accordingly because it is not only the Ministry of Energy that has been involved in such gross misconduct. Serikali na sisi kama watanzania tujadili namna ya kumaliza matatizo kama haya maana haya yanafanyika kila wizara na kila mwaka. Tunapoanza kumjadili mtu au kampuni ambayo hata hatuna uhakika kama inahusika tunakuwa hatuja-address problem. Jamii Forum is a home of great thinkers guys, au am i missing a point.?
 
Ni kweli kabisa hata mimi sioni haja ya kumjadili mtu au kampuni tu. Suala ni kuangalia tatizo lenyewe maana tunaweza ku lose focus ukakuta tunaelekea kwingine wakati issue ni masualla ya budget na jinsi taasisi za serikali zinatumika vibaya katika kipindi hiki. Nimemsikiliza Aggrey vizuri sana na kama ingekuwa mtu mwingine angekataa hata kuongea ila naona tunalenga kumshambulia mtu. Kama ana hatia mwisho wa siku itajulikana na wahusika wengine pia watajulikana. Mi nadhani tubaki kwenye issue ya msingi sio kuattack mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom