Executive Solutions ndiyo inahusishwa na sakata la Jairo? - Marealle akanusha!

Hapa ni kiini macho kitupu kumteganisha Katibu Mkuu wa Wizara na Waziri wake ni kama kumtoa kafara tu ili waziri apone. kwani mwenye kuhitaji zaidi Budget ipite ni nani? lazima hili zoezi waliliratibu wote hivyo wote ni wabovu na hawafai kuwepo serikalini,CCM wamezidi kukumabatia uovu,wanaumbuka lakini hawakomi
 
Ugumu wa hii issue in kuwa, Rais anamteua katibu mkuu, rais anamteua katibu mkuu kiongozi, rais anamteua CAG halafu moja ya hawa anamuagiza mwenzake afany akazi ya uchunguzi how? mi nadahai hatakama wangetaka kuzuga basi moja kwa moja bunge linge handle hii issue maana angalau hata wapinzani wangekuwepo. Hapo tutapigwa changa la macho. Kama ES inahusika, mtandao ni mkubwa sana, nadani ipo hivi, JK, Ngereja, Malima, Jairo, Idara, Benki, ES, wabunge, nk. halafu system inajuchunguza!!!!!! maajabu.
 
RealMan usiwe na chuki kwa watu bila sababu kaka. Unaongea kama vile una uhakika. Tuache tabia ya kutoa hukumu bila uhakika.
 
Natumaini hii habari haina ukweli wowote, hata kama kampuni yoyote ya PR ilipewa kazi ya kusambaza bahasha, yenyewe haina kosa lolote wala haistahili kuwa accountable kwa content ya ndani ya bahasha, wewe sasa hivi ukiamua kuweka dollar mia moja kwenye bahasha na kuituma bongo kupitia post, then post hawana makosa yoyote hapo, wamefikisha bahasha ikiwa salama.

Sasa naona hii miruzi mingi inakaribia kumpoteza mbwa, issue hapa ni 1. Nani signatory wa hiyo account ya GST, 2. Hizo fedha zilitokea wapi kuingia GST 3. Nani aliyezi-draw fedha hizo na kama ilifanyika bank transfer zilikwenda wapi.

Haya mambo ya PR kampani tungeyaweka pembeni kwa sasa, kwa kuwa kama uchunguzi utafanyika vizuri hawa jamaa watatokezea tuu kwenye mnyororo, na baada ya hapo watawataja WABUNGE wote waliokula mlungula huo.
 
Natumaini hii habari haina ukweli wowote, hata kama kampuni yoyote ya PR ilipewa kazi ya kusambaza bahasha, yenyewe haina kosa lolote wala haistahili kuwa accountable kwa content ya ndani ya bahasha, wewe sasa hivi ukiamua kuweka dollar mia moja kwenye bahasha na kuituma bongo kupitia post, then post hawana makosa yoyote hapo, wamefikisha bahasha ikiwa salama.

Sasa naona hii miruzi mingi inakaribia kumpoteza mbwa, issue hapa ni 1. Nani signatory wa hilo account, 2. Hivo fedha zilitokea wapi 3. Nani aliyezi-draw fedha hizo na kama ilifanyika bank transfer zilikwenda wapi.

Haya mambo ya PR kampani tengeyaacha kwa sasa, kwa kuwa kama uchunguzi utafanyika vizuri hawa jamaa watatokezea tuu kwenye mnyororo, na baada ya hapo watawataja WABUNGE wote waliokula mlungula huo.

Nakubaliana kabisa nawe mkuu hapa swala ni nani aliye toa baraka za kuzigawa. sio watu wanaanza kutafuta majani bila ya mizizi.

 
Mwanakijiji kwa hiyo hiyo kampuni tajwa ya PR ina uhusiano gani na akaunti za Geological Survey of Tanzania (GST)?

GST - Geological Survey of Tanzania - Organisational Structure

The Geological Survey of Tanzania (GST) was established as a Government Executive Agency in October 2005 under The Executive Agency Act No. 30, [CAP 245] of 1997, establishment order, 2005, Government notice no: 418 published on 9/12/2005. GST is managed by a Chief Executive (CE), appointed by the Minister for Energy and Minerals, for a term not exceeding five (5) years. The CE is answerable to the Permanent Secretary of the Ministry of Energy and Minerals and performs all the executive functions of GST. The Permanent Secretary is responsible for policy and the strategic management of GST and oversees the interest of the ministry and the government in general. There is a Ministerial Advisory Board (MAB) which advises the Minister on matters pertaining to efficient and effective performance and developments of GST.

GST - Geological Survey of Tanzania - Home

 
Natumaini hii habari haina ukweli wowote, hata kama kampuni yoyote ya PR ilipewa kazi ya kusambaza bahasha, yenyewe haina kosa lolote wala haistahili kuwa accountable kwa content ya ndani ya bahasha, wewe sasa hivi ukiamua kuweka dollar mia moja kwenye bahasha na kuituma bongo kupitia post, then post hawana makosa yoyote hapo, wamefikisha bahasha ikiwa salama.

Sasa naona hii miruzi mingi inakaribia kumpoteza mbwa, issue hapa ni 1. Nani signatory wa hiyo account ya GST, 2. Hizo fedha zilitokea wapi kuingia GST 3. Nani aliyezi-draw fedha hizo na kama ilifanyika bank transfer zilikwenda wapi.

Haya mambo ya PR kampani tungeyaweka pembeni kwa sasa, kwa kuwa kama uchunguzi utafanyika vizuri hawa jamaa watatokezea tuu kwenye mnyororo, na baada ya hapo watawataja WABUNGE wote waliokula mlungula huo.

Wewe ni mmoja wa wana JF mbumbumbu wa PR. Kama suala lingekuwa ni kugawa bahasha tu, hata kampuni ya udalali wangefanya. Hili la kutumia PR ni muhimu kuibuliwa kwa sababu PR inaenda na ushawishi. Unapewa pesa na maneno matamu na unaahidi kuwa hutamwangusha waziri. Kwa hiyo sio kama posta wanaobeba barua tu, unakuwa unajua kinachoendelea na kama ES walihusika kugawa hizo pesa nao ni watuhumiwa katika sakata hili. Ndio maana Pinda alipotaka kukurupuka, Jk akamwambia 'dogo tulia kwanza'.

Ukishauri tuishie kutafuta nani ni signatory wa GST utapata nini? Signatory wa SGT anasaini pesa kwa matumizi mbalimbali na ni rahisi mno zikachongwa vocha lukuki kuhalalisha matumizi ya bilioni 1 na wewe ukaishia ku-shake mkono wa signatory. Huu ni uhalifu na rushwa ikitolewa inabidi tuwabane watoaji (Jairo, Ngeleja na Malima) na wapokeaji (wabunge waliopokea) na mwezeshaji wa zoezi hilo aliyejua kuna uhalifu unatendeka akashiriki kugawa pesa na kukaa kimya (awe ni ES au mwingine yoyote).
 
RealMan usiwe na chuki kwa watu bila sababu kaka. Unaongea kama vile una uhakika. Tuache tabia ya kutoa hukumu bila uhakika.

Mh. Mashall wala sina chuki na wala sijahukumu.

Nimeuliza "That he's so clean to encroach ES into such a deal??" ili kuelewa tu mkuu. Au nimekosea kidhungu changu nimekosea maana ni product ya skuli za kata.

Ila kumbuka "usoni kama watu moyoni hawana utu, imani imetoweka mabaya yameongezeka"

Zamani tulikuwa tukiimba kwenye haraiki :
Kiongozi: mna imani na Nyereeeeeere??,
Kiitikio: Ooyaa Ooyaa Ooya,
Kiongozi: Kweliiiii?
Kiitikio: Kweli kweli kweli Nyerereeeeeeeee

Caint afford singing the same today!
 
Wildcard, unawasaidia kuhamisha magoli sasa Lol- tetesi ni kuwa kuna kampuni ya PR ndiyo imefanya hivyo - siyo Waziri! Well, kampuni iliyokuwa inatajwa ni hii na kama wamekuja kukanusha na kama ni kweli - basi kuna kampuni nyingine, Itajwe na yenyewe tuiweke on the record. Sasa mkianza kusema ni "waziri mwenyewe" nadhani hapa mtakumbana na ugumu mkubwa zaidi wa kuthibitisha. Njia pekee ya kujua nani alihusika ni kwa wabunge waliopewa fedha waseme walizipokea toka kwa nani... kama hayupo ambaye anaweza kujitokeza ni vigumu kweli kumhukumu Jairo... I can see this case crumbling like soaked biscuits..

Mbona yule mama Shellukindo alikiri kukataa bahasha la fedha? hao wanaotaka kumjua msambazaji siwamfuate huyo mama?
 
Hapa sasa!!

Wewe "Bado Niponipo" tafadhali huyo mzee (Avatar yako) kaniandikia email kuwa kama ulikuwa unaitumia kama adhabu yake sasa tosha la sivyo atafungua mashtaka mahakama kuu ukiwa mshatakiwa wa kwanza na gazeti la Mwanainchi mshitakiwa namba mbili kwa uchochezi wenu, mara mseme mnyama wa Gombe, mara wa Mikumi, wengine Handsome boy hamchokii tu?

,
avatar11645_1.gif
 
Mambo mengine bana ni kizungumkuti tu. Unajua kwa nini?
  • Tshs. karibu 1bn kwa maana ya zabuni? Haingii akilini na ilitakiwa zabuni yake iwe ni NCB-Natinal competitive bidding, itangazwe kwenye media na kwenye website ya PPRA. Ok!
  • Ukitazama tarehe za barua ya kusaka 50ml, kuzipata, kuzigawa?! Unapata mashaka mchakato ulivyokwenda haraka ili kumpata mzabuni.
Mimi naliona jambo hili kwa mshangao mkubwa. Hebu tusubiri hiyo special audit ili watu "wasichafuliwe" ama wengine kujipa "umaarufu". My Country Tanzania.
 
Hivi mpaka sasa hakuna waliojiuzuru kwa kashifa hii?, Je wabunge wanalizungumziaje swala hili, kumsubiri raisi ni kupoteza muda tu. Kama kweli kuna wabunge wamechukua bahasha hizo basi inabidi wajiuzuru mara moja au kama hawataki namwomba raisi alivunje bunge na uchaguzi mpya ufanyike. Hatuwezi kuwa na bunge la walarushwa halafu bodo tukawa na imani nalo. Wito wangu hakuna sababu ya kuzunguka mbuyu wabunge wote wajihuzuru ili kulindashima ya bunge. Tumeona ambavyo kashifa ya simu nchini uingereza wakuu wa polisi walivyojiuzuru kwa kutokufanya uchunguzi tu pale walipopata taarifa za wausika.
 
ES wanarekodi ya kufanya lobbying on behalf of senior individuals in government - iwe kuomba michango ya majimbo; nyumba za ibada etc. Pia wamekuwa wanajariu kuuza stori ktk baadhi ya vyombo vya habari vyenye lengo la kupamba baadhi ya hao wakubwa ktk serikali na cahama tawala. Hivyo sishangai kwa tetesi hizo.

Labda ripoti ya CAG itatuonyesha majina na viongozu wa taasisi zilizochanga hiyo pesa na DP wa wizara atalazimika kutoa orodha ya alivyotumia hizo pesa.

Iwe itakavyokuwa huu mchezo wa kuwango wabunge ni standard practice ktk serikali yetu na haukuanza leo.

Mwanakijiji nakupongeza kwa kuliweka jamvini suala hili la PR firm kwani itajulikana hasa ni ipi ilihuiska
 
Nadhani we need to be very careful kwakweli bse maneno yanayosemwa hapa JF yanaleta hisia tofauti na yanaweza ku-influence perceptions za watu wa kada mbalimbali kuanzia lawmakers, policy makers, donors, business community, investors mp aka a common man. Personally am always afraid to carry the burden of proof
 
Back
Top Bottom