Exclusively Tanzanian: Total package of public employee is far higher than private employee

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
Wanabodi,

Nadhani ni Tanzania tu ambapo total package ya mfanyakazi wa serikali ni kubwa kuliko mfanyakazi wa private; ukilinganisha kwenye level zinazoshabihiana.
 
Kawaida watu huwa hawapendi kufanya serkalini sababu mishahara na mafao mengine yanakuwa ni pungufu sana. Lakini Tanzania ni kinyume chake. Watu wanapenda kufanya kazi serkalini sababu zaidi ya mishahara mikubwa na mafao mazuri, pia ndiyo chanzo cha kujipatia bakhshish toka kwa wananchi wenye shida.
 
Zamani watu walikuwa wakichukia apointments za serkalini. Mishahara ilikuwa ni midogo na zaidi ya huduma za afya bure kwenye hosp. za serkali ambako siku zote hamna dawa, ulikuwa ukichelewa mara kwa mara una achishwa na hata ukisingiziwa kupokea rushwa basi ni balaa la kutangazwa magazitini. Leo ni kwamba, serkalini mishahara ni juu, ukikosa una ndugu(godfather) wa kukutetea, ukijulikana unapokea rushwa basi ni freind wa boss sababu utamtafutia pesa za kitoweo kila siku(mradi)
 
Mi nadhani hapa mtoa hoja angeweka na mifano kadhaa ili kuprove point yake....mi naamini huwezi kulinganisha mshahara wa mwanasheria/wakili wa IMMMA Advocates na wa ule wa mwanasheria/wakili wa serikalini.
 
Wanabodi,

Nadhani ni Tanzania tu ambapo total package ya mfanyakazi wa serikali ni kubwa kuliko mfanyakazi wa private; ukilinganisha kwenye level zinazoshabihiana.
Please provide evidence na toa figure halisi kuonyesha hiyo tofati ya packages
 
Back
Top Bottom