NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 637
Sio zao nao waliiba....
Mkubwa you made me smile thanks bro.:smile-big:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio zao nao waliiba....
Hakuna cctv kwa mstaafu?Wizi umetokea wa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni kumi za kitanzania ndani ya nyumba ya Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi. Wafanyakazi wa ndani ya nyumba ambao ni wa Serikali walikamatwa pamoja na wengine watatu ambao ni wajenzi wa kampuni moja binafsi waliokuwa wakifanya matengenezo madogo nyumbani hapo.
Wafanyakazi wa ndani waliachiwa huru na wale wa nje huenda watafikishwa mahakamani karibuni. Fedha hizo inasemekana ni za mtoto wa Mwinyi ambaye inasemekana ni daktari. Fedha hizo alishtukia tu hazipo hajui zilipotea lini na kwa namna gani.
Familia za waliowekwa ndani zinahangaika kuwatoa ndugu zao ambao hawana kabisa historia ya wizi na mmoja wapo ameshuhudiwa akilia kama mtoto.
Jambao la ajabu ni kwamba sheria za kiusalama ni kwamba wakati wa matengenezo mafundi hawaruhusiwi kuingia vyumbani bila mlinzi.
Katika mchakato wa dhamana pale mahakama ya Kinondoni Hakimu amelamba 100,000 kutoka kwa familia hizo tatu za watu masikini, huku afisa mzungusha faili akichukua 30,000.
Uonevu mtupu!!
Mi najua yule ni mzee wa RUKSA, inawezekana hao mafundi wameingia ndani wakijua ni RUKSA, wakaingia mpk chumbani RUKSA, wakafungua drooo RUKSA, wakabeba pesa RUKSA. Kama ni walinzi au wafanyakazi pia ni RUKSA, no accusation at all, simple because ni RUKSA........I wonder wanapelekana mahakani!!!!!!!
Hakuma mtt mwenye akiki timamu atakayeelewa. Taarifa zinasema mafundi walikuwa wanaingia na walinzi, sasa inakuaje wahusishwe?? Familia ya mzee Mwinyi imeanza utapeli. Mwinyi is now loosing his good reputation.
Umenikumbusha habari moja niliyoisikia miaka miwili mitatu hivi nyuma wakati EL bado ni PM. Katika mahesabu ya kufunga mwaka katika kampuni ya Caspian ya RA, mahasibu walikuta ziada ya Sh 400 milioni ambazo hawakujua zimeingia vipi katika vitabu vya mahesabu -- maana hazikuwa kutokana na mapato ya kampuni yanayoeleweka.
Wakamuuliza mmiliki, RA, kuhusu hela ile. Pale pale akampigia simu EL na kumuuliza: "Ulipeleka hela pale Sh 400 kule Casspian?" EL akajibu "la hasha."
Baadaye siku iliyofuata EL akakumbuka vizuri kumbe ni hela zake akampigia simu RA: "Hizo hela zililetwa na yule mjamaa? (akamtaja jina) -- ni zangu ndiyo."
Akamwambia aende akazichukuwe kwani zinawachanganya mahasibu wake.
Kwa Lowassa sishangai. Nasikia kule kwake hela yake inakaa kwenye simtank.This is a joke jamani. Yaani m2 anasahau kama kawekewa 400m kwenye A/c?:frusty:
Kwanini aweke shs mil 10 ndani wakati ana account kibao?
Wizi umetokea wa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni kumi za kitanzania ndani ya nyumba ya Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi. Wafanyakazi wa ndani ya nyumba ambao ni wa Serikali walikamatwa pamoja na wengine watatu ambao ni wajenzi wa kampuni moja binafsi waliokuwa wakifanya matengenezo madogo nyumbani hapo.
Wafanyakazi wa ndani waliachiwa huru na wale wa nje huenda watafikishwa mahakamani karibuni. Fedha hizo inasemekana ni za mtoto wa Mwinyi ambaye inasemekana ni daktari. Fedha hizo alishtukia tu hazipo hajui zilipotea lini na kwa namna gani.
Familia za waliowekwa ndani zinahangaika kuwatoa ndugu zao ambao hawana kabisa historia ya wizi na mmoja wapo ameshuhudiwa akilia kama mtoto.
Jambao la ajabu ni kwamba sheria za kiusalama ni kwamba wakati wa matengenezo mafundi hawaruhusiwi kuingia vyumbani bila mlinzi.
Katika mchakato wa dhamana pale mahakama ya Kinondoni Hakimu amelamba 100,000 kutoka kwa familia hizo tatu za watu masikini, huku afisa mzungusha faili akichukua 30,000.
Uonevu mtupu!!
Umenikumbusha habari moja niliyoisikia miaka miwili mitatu hivi nyuma wakati EL bado ni PM. Katika mahesabu ya kufunga mwaka katika kampuni ya Caspian ya RA, mahasibu walikuta ziada ya Sh 400 milioni ambazo hawakujua zimeingia vipi katika vitabu vya mahesabu -- maana hazikuwa kutokana na mapato ya kampuni yanayoeleweka.
Wakamuuliza mmiliki, RA, kuhusu hela ile. Pale pale akampigia simu EL na kumuuliza: "Ulipeleka hela pale Sh 400 milioni kule Casspian?" EL akajibu "la hasha."
Baadaye siku iliyofuata EL akakumbuka vizuri kumbe ni hela zake akampigia simu RA: "Hizo hela zililetwa na yule mjamaa? (akamtaja jina) -- ni zangu ndiyo."
Akamwambia aende akazichukuwe kwani zinawachanganya mahasibu wake.