Hadithi ya ufisadi imekwisha, inaanza mpya ya Tarime. Je matukio yakiisha CHADEMA italeta hadithi gani nyingine. wanasiasa mchwara bana.
Ndugu acha ushabiki wa kisiasa ebu fikiria kiundani mambo yanayofanywa na viongozi wetu usiwe sehemu ya uchafu huo!!CHADEMA mwingine huyu
CHADEMA mwingine huyu
CHADEMA mwingine huyu
Hivi una uchungu na nchi hii kweli? Unadhani hili ni jambo la vyama? Ingekuwa ni ndugu zako wameuawa hivi ungeandika haya? Utu umekwenda wapi ziku hizi? Picha zako tunaziona Michuzi Blog lakini baada ya kuona comments zako humu, naona hata hiyo blog unaishushia hadhi!Hadithi ya ufisadi imekwisha, inaanza mpya ya Tarime. Je matukio yakiisha CHADEMA italeta hadithi gani nyingine. wanasiasa mchwara bana.