TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
CCM----Chukua Chako Mapema, ndio wako kazini ati. Laitia hawa wangeondolewa wengine wamgeweza rectify mambo japo kwa kiasi kabla hawajajanjaruka(kila Mtz ni fisadi mtarajiwa).
Inauma sana wakuu....ila tu waoga, tungeweza kutia ngumu jamaa wasifanye chochote...mmh nani atataka kupigwa mabomu ya machozi....bora wajichukulie chao.......mimi wakianza levelling nitajitosa kwenye greda ili kujitoa muhanga kutetema mali yetu.....mmmh nitaweza kweli!
Jamani nami kibaruani kwangu kuko jirani kweli na eneo hilo, kila siku kuliona likitoweka inaumaaaa!
Inauma sana wakuu....ila tu waoga, tungeweza kutia ngumu jamaa wasifanye chochote...mmh nani atataka kupigwa mabomu ya machozi....bora wajichukulie chao.......mimi wakianza levelling nitajitosa kwenye greda ili kujitoa muhanga kutetema mali yetu.....mmmh nitaweza kweli!
Jamani nami kibaruani kwangu kuko jirani kweli na eneo hilo, kila siku kuliona likitoweka inaumaaaa!