Katibu Tarafa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2007
- 989
- 51
hivi cheyo kama yeye binafsi anaimani na serikali iliyopo madarakani ?
Hivi hilo radio mnaipataje?
A bon kwa nini ni mnafiki?asingejiamini angeshikilia shilingi jana?cheyo ni mnafiki hajiamini kama kawaida ya watanzania
kwenye klhnews.com,nenda kwenye mahali palipoandikwa sikiliza live,kisha chagua player
Upande wa kulia chini chini karibu na pale palipoandikwa DONATE!Mzee mimi sioni hiyo "sikiliza live"
Mzee mimi sioni hiyo "sikiliza live"
Ahsante Mzee, siwezi kuifungua nimeshajua tatizo ni nini nyie endeleeni mtatupa updates baadaye.Upande wa kulia chini chini karibu na pale palipoandikwa DONATE!
Ahsante Mzee, siwezi kuifungua nimeshajua tatizo ni nini nyie endeleeni mtatupa updates baadaye.
Hatumskii Mh
Alisema nchi ina sheria hivyo kukamatwa kupo!tatizo kuna kulindana!Halafu inaelekea na yeye yuko hapa JF kwani maswali yakiulizwa basi yeye anachukua muda mreefu kujibu!
Aliulizwa wakamatwe ama la...Akaleta siasa mingi!
Sasa humo kamatini mh mh mh!
Alisema nchi ina sheria hivyo kukamatwa kupo!tatizo kuna kulindana!
Mbona sioni link kwenye KLHN? Nimejaribu palipoandikwa live haifungui.....!!1 plz saidia.