Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,488
- 92,901
Wana MMU hii sio tamthilia ya kusadikika bali ni hali halisi iliyopo mtaani kwangu ambayo nadhani si sahihi na tuendako hili laweza kuwa janga kubwa.
Mimi naishi uswahilini na mtaani kwangu kuna kundi la wadada wasiopungua 20 hawa ni daily members ambao lazima wawe pamoja wakati wa jioni na some time full day, lakini kwa ujumla wao hawa hawapungui 50. sasa basi mimi sina tatizo lolote na wao kuwa na kundi lao la kujiwezesha kwenye sherehe na misiba nawaunga mkono kwenye hilo, lakini tatizo langu kubwa ni hawa dada zangu wa kitaa kugeuza ndoa kuwa kama swala la mzaa!! kwa nini? nitaeleza:
Katika kundi hili kuna kinara wao huyu Dada hapungui umri wa 50 na hajaolewa ila amefanikiwa kumbaka rafiki yetu mmoja na kuzaa nae mtoto mmoja wa kike baada ya kupata mtoto akamuanzishia visa rafiki yetu na sasa hawaishi pamoja, huyu mdada ana nguvu kubwa za kiuchumi.
sasa basi umezuka mtindo wa harusi zisizokuwa na kichwa wala miguu kisa mdada mwingine anaona amechangia sana wenzake lakini yeye hajui ataolewa lini na anatamani ile mizawadi wanayozawadianaga, basi hapo ataingizwa mkenge pimbi yeyote na mtasikia mnatangaziwa harusi na kadi za michango lakini baada ya mwaka hakuna ndoa! na binafsi nimeshadecrare hapa mtaani kwamba siko tayari tena kuwachangia hawa wadada, wote hawa ni pepo ya shetani.
Haya kuna wengine kwenye kundi hili ambao ni waumini wa kiislamu, tene hawa ndio hawana shida maana wako tayri kuolewa na mume wa mtu huku wakijuwa kwenye uislamu talaka haitakuwa tabu baada ya kutimiza malengo yao ya kutoa nuksi!
Nina mengi kuhusu kundi hili lakini sipendi thread iwe ndefu najuwa wavivu wa kusoma ni wengi, je kwa hali hii ni wapi tunakwenda?
Hitimisho: kwa sababu huyu dada kinara wa hili kundi ana grocery ya pombe na ina mvuto hapa mtaani kwetu, basi imekuwa ni kivutio vijana wengi kupenda kufika hapo jioni ili kusuuza koo, lakini kama una mke na yeye si mwenyeji wa mtaa huu afikapo hapo uvutiwa na kundi hilo na kesho si lazima uende nae wewe mumewe na huenda yeye mwenyewe kujiunga na uanachama na papo hapo ndio uhesabu ndoa yako sasa itakuwa ni ndoano rasmi.
Mimi naishi uswahilini na mtaani kwangu kuna kundi la wadada wasiopungua 20 hawa ni daily members ambao lazima wawe pamoja wakati wa jioni na some time full day, lakini kwa ujumla wao hawa hawapungui 50. sasa basi mimi sina tatizo lolote na wao kuwa na kundi lao la kujiwezesha kwenye sherehe na misiba nawaunga mkono kwenye hilo, lakini tatizo langu kubwa ni hawa dada zangu wa kitaa kugeuza ndoa kuwa kama swala la mzaa!! kwa nini? nitaeleza:
Katika kundi hili kuna kinara wao huyu Dada hapungui umri wa 50 na hajaolewa ila amefanikiwa kumbaka rafiki yetu mmoja na kuzaa nae mtoto mmoja wa kike baada ya kupata mtoto akamuanzishia visa rafiki yetu na sasa hawaishi pamoja, huyu mdada ana nguvu kubwa za kiuchumi.
sasa basi umezuka mtindo wa harusi zisizokuwa na kichwa wala miguu kisa mdada mwingine anaona amechangia sana wenzake lakini yeye hajui ataolewa lini na anatamani ile mizawadi wanayozawadianaga, basi hapo ataingizwa mkenge pimbi yeyote na mtasikia mnatangaziwa harusi na kadi za michango lakini baada ya mwaka hakuna ndoa! na binafsi nimeshadecrare hapa mtaani kwamba siko tayari tena kuwachangia hawa wadada, wote hawa ni pepo ya shetani.
Haya kuna wengine kwenye kundi hili ambao ni waumini wa kiislamu, tene hawa ndio hawana shida maana wako tayri kuolewa na mume wa mtu huku wakijuwa kwenye uislamu talaka haitakuwa tabu baada ya kutimiza malengo yao ya kutoa nuksi!
Nina mengi kuhusu kundi hili lakini sipendi thread iwe ndefu najuwa wavivu wa kusoma ni wengi, je kwa hali hii ni wapi tunakwenda?
Hitimisho: kwa sababu huyu dada kinara wa hili kundi ana grocery ya pombe na ina mvuto hapa mtaani kwetu, basi imekuwa ni kivutio vijana wengi kupenda kufika hapo jioni ili kusuuza koo, lakini kama una mke na yeye si mwenyeji wa mtaa huu afikapo hapo uvutiwa na kundi hilo na kesho si lazima uende nae wewe mumewe na huenda yeye mwenyewe kujiunga na uanachama na papo hapo ndio uhesabu ndoa yako sasa itakuwa ni ndoano rasmi.