Excellent na Washawasha

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,159
Wanajf,
tangu mwaka huu uanze uwepo wa hawa watu wawili umekua mdogo sana hapa jamvini.
Mwenye taarifa yoyote apate kunijuza hawa watu walipo nimewamiss kweli
 
Wanajf,
tangu mwaka huu uanze uwepo wa hawa watu wawili umekua mdogo sana hapa jamvini.
Mwenye taarifa yoyote apate kunijuza hawa watu walipo nimewamiss kweli

mwongeze na Preta sijui nini kimempata. Nilimsoma kwenye thread ya msiba wa Regia tu.
 
Back
Top Bottom