Braza letu la mitihani limekua na kashfa kem kem kwa muda mrefu sasa. mara mitihani imevuja, mara vyeti vimeibiwa. suluhisho la tatizo hilo hadi leo halijapatikana'
wenzetu, matokeo ya mitihani imechelewa kutolewa. imebidi ajiuzulu. sijui lini tutakuja kufikia utumishi kwa umma ulio tukuka kama majuu. kweli waafrika ndivyo tulivyo. bofya hapo chini
macinkus
wenzetu, matokeo ya mitihani imechelewa kutolewa. imebidi ajiuzulu. sijui lini tutakuja kufikia utumishi kwa umma ulio tukuka kama majuu. kweli waafrika ndivyo tulivyo. bofya hapo chini
macinkus