Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
A fool is a fool! They never learn! Hujaona mjini hapa mtu anapata kazi nzuri ananunua V8 na kupanga mansion ufukwe wa kigamboni, anafanya party ya kuhamia nyumba ya kupanga? Analipia clowns wa fun city na mwalimu wa kufundisha watu kuogelea. Vipo mjini humu wifi! Na waliofilisika anawajua, sie twaenda kula mishkaki na kutambaa!
Hahahaha. . . .kweli watu ni noma. Sema tatizo watu huwa hawafikirii kwamba hata nae yanaweza yakamkuta ya kumkuta. Tena utakuta wanasema kabisa "fulani mjinga kweli, alichezea pesa sasa hana kitu" kumbe nao ni muda tu haujafika.