Ex wangu ananionea wivu...

Tunguli tungua
tungu tatungu
tangu tendungu
tandu tiungu
tungua tungue
tungulele mkalele
 
Vijana acheni uasherati, kutungua ndio nini?? kama urafiki unakubalika lakini sio kutunguana kabla ya ndoa. Ushauri wangu kwako ni kwamba weka mambo wazi hatakufuatafuata. Funga ndoa na huyo uliye aye sasa na kama huna mwambie umeokoka.
 
Mkuu natamani niyafahamu vema maneno yako ili nipate kuyafanyia kazi.
Mlatungu kaonja chungu
Chungu juu kinaTundu
kinaTundu maji ya Ufudu
Ufudu jirambe Ufaudu
Ufaudu raha ya Sumu
Sumu ogopa Sumu
 
Mlatungu kaonja chungu
Chungu juu kinaTundu
kinaTundu maji ya Ufudu
Ufudu jirambe Ufaudu
Ufaudu raha ya Sumu
Sumu ogopa Sumu

Sasa nimekuelewa mkuu, na hatimaye naweza kufanya maamuzi sahihi...!
 
Achana nae wivu unamsumbua siku zote "Chakula cha leo ndio kitamu, cha jana kipolo"
 
Back
Top Bottom