Ex-Tanzania Tourism Board boss dies

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
Wed, Jun 20th, 2012
Tanzania |


The Former Tanzania Tourism Board (TTB) Managing Director, Mr Peter Mwenguo (64) died in Dar es Salaam on Monday after succumbing to stroke.

Peter-Mwenguo.jpg


The late Peter Mwenguo


The TTB Principal Public Relations Officer, Mr Geoffrey Tengeneza, told the ‘Daily News' in Dar es Salaam on Tuesday that Mwenguo had been admitted to Muhimbili National Hospital (MNH)'s Intensive Care Unit (ICU) where he died at around 10.00am.

"His health started deteriorating recently while on his way back from America where he went to attend a graduation ceremony for one of his children. He was forced to undergo treatment on the way and shortly after arriving in Dar es Salaam he suffered a stroke," he said.

Mr Tengeneza further added that the late Mwenguo has been attending clinics at MNH for a while before he was recently admitted. He noted that burial arrangements were still being finalized and mourners are gathered at his home in Mwenge, Dar es Salaam, located at Tanzania Revenue Authority (TRA) flats opposite TRA's Mwenge offices.


The late Mwenguo joined the TTB in October 22, 1993 as a Director of Marketing, the position he held for six year before he was promoted and became the TTB's MD in 1999. He served at that capacity until October 22, 2008 when he retired in accordance to the law. He was, however, re-employed on a special contract at the same capacity until December 20, 2009.


 
Every moment of life is a step towards death! R.I.P Peter Mwenguo!
 
R.I.P. Mzee Peter, poleni wanafamilia.

Huyu bwana baada ya kustaafu aliendelea kukaa kwenye nyumba ya serikali akitegemea wangemuuzia lakini haikuwa hivyo. Hivi kartibuni alitolewa kwa nguvu kwenye hiyo nyumba na kiasi kikubwa cha pesa waliyoita ni kodi ya miaka miwili ikakatwa kwenye mafao yake. Matokeo yake akapatwa na kiharusi na kulazwa hospitali hadi yakamkuta mauti.
 
RIP MR Peter Mwenguo sote tunafuata we are on our way from Arusha kuhudhuria mazishi yake kesho Mungu awape nguvu wote wanaohusika na msiba huu
 
R.I.P. Mzee Peter, poleni wanafamilia.

Huyu bwana baada ya kustaafu aliendelea kukaa kwenye nyumba ya serikali akitegemea wangemuuzia lakini haikuwa hivyo. Hivi kartibuni alitolewa kwa nguvu kwenye hiyo nyumba na kiasi kikubwa cha pesa waliyoita ni kodi ya miaka miwili ikakatwa kwenye mafao yake. Matokeo yake akapatwa na kiharusi na kulazwa hospitali hadi yakamkuta mauti.


ni kweli tupu, huyu jamaa nilikuwa nacheza naye kamari pamoja las vegas(Roulette)
 
R.I.P. Mzee Peter, poleni wanafamilia.

Huyu bwana baada ya kustaafu aliendelea kukaa kwenye nyumba ya serikali akitegemea wangemuuzia lakini haikuwa hivyo. Hivi kartibuni alitolewa kwa nguvu kwenye hiyo nyumba na kiasi kikubwa cha pesa waliyoita ni kodi ya miaka miwili ikakatwa kwenye mafao yake. Matokeo yake akapatwa na kiharusi na kulazwa hospitali hadi yakamkuta mauti.

Hakika masaibu haya ya stroke zisizotegewa zitawakuta viongozi wengi na wale watumishi wa umma ambao wana mawazo ya kujitwalia kifisadi mali/assets za umma walizopewa wazitumie wakati wa utumishiwao wa umma pale ambapo mfumo wa utawala wa nchi hii utakapochukuliwa na viongozi wanaolinda mali za taifa hili pamoja na masilahi ya wananchi wake. Ee mungu naomba unipe uhai ili niweze kuona na kushuhudia wanavyokufa bila hata kuguswa wala kupelekwa gerezani kwa unyanganyi walioufanya walipokuwa madarakani Amen.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom