ex-girlfriend anataka nizae nae

kifyoga b

Member
Feb 14, 2011
43
4
mimi ni baba wa familia(nimeoa) kabla ya kuoa nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambae nilidumu nae kwa miaka mitatu hivi. nilipokuwa tayari kuoa nilimtaarifu mwenzangu kuwa nataka kujitokeza kwao aliniambia kuwa kwa wakati huo hayupo tayari kuolewa kwa sababu bado hajajiandaa na wazazi wake hawawezi kukubali na pia alikuwa na plan ya kuendelea kusoma. kwa sababu nilikuwa nimeweka malengo yangu kuwa ikifika age fulani nioe nilichukua uamuzi wa kutafuta mtu mwingine aliyetayari kuolewa na mungu si athumani nikampata. baada ya kumpata nilitumia busara yangu kumjulisha kuwa nimeamua kutafuta mwingine aliye tayari kuolewa na nimeshampata so no need kuendelea kuwa na mahusiano nae, alikubali ingawaje kwa shingo upande na kwa kulia sana baada ya hapo tuliendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida kwa sababu hatukugombana. sasa ni miaka mitatu imeshapita ametokea kuwa karibu tofauti na ilivyo kawaida na pia amekuwa akilalamika kila siku kuwa boyfriend wake hamkidhi mahitaji yake(sex) nimekuwa nikimshauri awe mvumilivu na ampeleke kwa washauri wa mahusiano lakini kali ni last week alipoanza kuniambia live kuwa hatokuwa na maana yoyote kama hatozaa nami maana ni mwanaume pekee ambaye nimebaki na nafasi katika moyo wake so anachoomba yeye si kurudiana bali niweze kuzaa naye ili iweze kuwa kumbu kumbu yake for rest of her life, kwangu imekuwa ni mtihani sana kwa sababu ya urafiki wetu hata baada ya mimi kuoa. ushauri wenu wanajf
 
Umeoa na una familia, lazima ujue cha kufanya wewe ni mtu mzima hivyo mwambie haiwezekani kama una kifua...fikiria mbele zaidi ya hatua ya mguu wako mana utajitakia matatizo..
Mtu unaejali familia na kuipa kipaumbele sidhani jambo kama hili litakusumbua kuamua labda kama na wewe unataka kuzaa nae.
 
Nadhani hilo ni jambo binafsi zaidi,ushauri wa kuzaa nae au hapana unao mwenyewe na imani yako ktk ndoa yako!!!Kama ndoa yako ni takatifu basi ilinde ndoa yako na kutochakachua nje!!!Ukiweza mshirikishe mkeo kama atakuruhusu ila kama hawezi siku akija gundua umezaa na mtu wakati ushamuoa ugomvi ni mkubwa na yeye ataweza kukuzalia na bwana mwingine!!!mwambie asake wa kwake ila sikukatazi kuzaa kimtindo
 
mimi ni baba wa familia(nimeoa) kabla ya kuoa nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambae nilidumu nae kwa miaka mitatu hivi. nilipokuwa tayari kuoa nilimtaarifu mwenzangu kuwa nataka kujitokeza kwao aliniambia kuwa kwa wakati huo hayupo tayari kuolewa kwa sababu bado hajajiandaa na wazazi wake hawawezi kukubali na pia alikuwa na plan ya kuendelea kusoma. kwa sababu nilikuwa nimeweka malengo yangu kuwa ikifika age fulani nioe nilichukua uamuzi wa kutafuta mtu mwingine aliyetayari kuolewa na mungu si athumani nikampata. baada ya kumpata nilitumia busara yangu kumjulisha kuwa nimeamua kutafuta mwingine aliye tayari kuolewa na nimeshampata so no need kuendelea kuwa na mahusiano nae, alikubali ingawaje kwa shingo upande na kwa kulia sana baada ya hapo tuliendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida kwa sababu hatukugombana. sasa ni miaka mitatu imeshapita ametokea kuwa karibu tofauti na ilivyo kawaida na pia amekuwa akilalamika kila siku kuwa boyfriend wake hamkidhi mahitaji yake(sex) nimekuwa nikimshauri awe mvumilivu na ampeleke kwa washauri wa mahusiano lakini kali ni last week alipoanza kuniambia live kuwa hatokuwa na maana yoyote kama hatozaa nami maana ni mwanaume pekee ambaye nimebaki na nafasi katika moyo wake so anachoomba yeye si kurudiana bali niweze kuzaa naye ili iweze kuwa kumbu kumbu yake for rest of her life, kwangu imekuwa ni mtihani sana kwa sababu ya urafiki wetu hata baada ya mimi kuoa. ushauri wenu wanajf


dah, kutembea na mwanamke mwingine tu nje ya ndoa,
ni sumu kali sembuse kuzaa kiongozi?
hebu peperusha mbali hizo fikra!!!!!!!!!
 
Tuna masuala mengi muhimu ya kushauri hili lipo ndani ya uwezo wako. Kwa ufupi mpe msimamo wako kuwa kwa sasa hana nafasi na huna mpango wa kuzaa nje ya ndoa.
 
Jamani hizi shule zinawacost wasichana wengi sana sasa kwani ungemuoa ungemkataza kusoma? ona sasa anavyotaka kuharibu maisha yake kuliko hata angeolewa kipindi hicho nyuma, sasa hapo embu angalia hili la kuzaa na kama angeolewa kipindi kile kipindi kile kipi wazazi watakasirika zaidi? mwanzo alikuharibia plan za maisha ukakubaliana mkaachana sasa unamkaribisha tena jitayarishe na mparagano wa ndoa yako
 
Wewe umesahaamua kuoa na kuacha zinaa sasa mbona unataka kurudi ulikotoka ?:juggle:
 
mkuu,
Heshimu ndoa yako! Na kama ni mkristo inabidi ujitahidi umsahau huyo dada, na ningekushauri upunguze ukaribu naye kwa kadiri inavyowezekana.
Kwa maelezo yako inaonesha bado mpo karibu kimawasiliano. Ningependa nikushauri umwache huru ajiamulie mambo yake mwenyewe. Akutafute kama ana shida za kibinadamu za kawaida, tena akushirikishe mbele ya mkeo.

Inawezekana kweli ulimpenda, ni kweli, lakini mwangalie pia mkeo. maana akifahamu utamweka katika mazingira magumu na kuhatarisha ndoa yako nzuri.
 
Mwambie haiwezekani!!Kama ambavyo yeye hakutaka kuharibiwa maisha yake huko nyuma ndivyo atakavyokuharibia ya kwako sasa hivi au mbeleni!!Kua mwanaume!!!:embarassed2:
 
mimi ni baba wa familia(nimeoa) kabla ya kuoa nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambae nilidumu nae kwa miaka mitatu hivi. nilipokuwa tayari kuoa nilimtaarifu mwenzangu kuwa nataka kujitokeza kwao aliniambia kuwa kwa wakati huo hayupo tayari kuolewa kwa sababu bado hajajiandaa na wazazi wake hawawezi kukubali na pia alikuwa na plan ya kuendelea kusoma. kwa sababu nilikuwa nimeweka malengo yangu kuwa ikifika age fulani nioe nilichukua uamuzi wa kutafuta mtu mwingine aliyetayari kuolewa na mungu si athumani nikampata. baada ya kumpata nilitumia busara yangu kumjulisha kuwa nimeamua kutafuta mwingine aliye tayari kuolewa na nimeshampata so no need kuendelea kuwa na mahusiano nae, alikubali ingawaje kwa shingo upande na kwa kulia sana baada ya hapo tuliendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida kwa sababu hatukugombana. sasa ni miaka mitatu imeshapita ametokea kuwa karibu tofauti na ilivyo kawaida na pia amekuwa akilalamika kila siku kuwa boyfriend wake hamkidhi mahitaji yake(sex) nimekuwa nikimshauri awe mvumilivu na ampeleke kwa washauri wa mahusiano lakini kali ni last week alipoanza kuniambia live kuwa hatokuwa na maana yoyote kama hatozaa nami maana ni mwanaume pekee ambaye nimebaki na nafasi katika moyo wake so anachoomba yeye si kurudiana bali niweze kuzaa naye ili iweze kuwa kumbu kumbu yake for rest of her life, kwangu imekuwa ni mtihani sana kwa sababu ya urafiki wetu hata baada ya mimi kuoa. ushauri wenu wanajf

Angalia upande wa pili wa shilingi.
Mkeo angekufanyia haya, ungejiskiaje?

kwamba, wewe humridhishi, na hajiskii raha ya maisha bila
kumzalia mtoto huyo ex-boyfriend.
 
mkuu,
Heshimu ndoa yako! Na kama ni mkristo inabidi ujitahidi umsahau huyo dada, na ningekushauri upunguze ukaribu naye kwa kadiri inavyowezekana.
Kwa maelezo yako inaonesha bado mpo karibu kimawasiliano. Ningependa nikushauri umwache huru ajiamulie mambo yake mwenyewe. Akutafute kama ana shida za kibinadamu za kawaida, tena akushirikishe mbele ya mkeo.

Inawezekana kweli ulimpenda, ni kweli, lakini mwangalie pia mkeo. maana akifahamu utamweka katika mazingira magumu na kuhatarisha ndoa yako nzuri.

Mpendwa, kugonga thanks mara mbili hairuhusiwi hivyo naomba nikupe thanks nyingine. Umemaliza kila kitu!

Kifyoga b, hizo hila za shetani kaa nazo mbali kabisa!
 
kuzaa?, ina maana utapiga kavu wakati una wife nyumbani? ..... kazi ipo.
 
mimi ni baba wa familia(nimeoa) kabla ya kuoa nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambae nilidumu nae kwa miaka mitatu hivi. nilipokuwa tayari kuoa nilimtaarifu mwenzangu kuwa nataka kujitokeza kwao aliniambia kuwa kwa wakati huo hayupo tayari kuolewa kwa sababu bado hajajiandaa na wazazi wake hawawezi kukubali na pia alikuwa na plan ya kuendelea kusoma. kwa sababu nilikuwa nimeweka malengo yangu kuwa ikifika age fulani nioe nilichukua uamuzi wa kutafuta mtu mwingine aliyetayari kuolewa na mungu si athumani nikampata. baada ya kumpata nilitumia busara yangu kumjulisha kuwa nimeamua kutafuta mwingine aliye tayari kuolewa na nimeshampata so no need kuendelea kuwa na mahusiano nae, alikubali ingawaje kwa shingo upande na kwa kulia sana baada ya hapo tuliendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida kwa sababu hatukugombana. sasa ni miaka mitatu imeshapita ametokea kuwa karibu tofauti na ilivyo kawaida na pia amekuwa akilalamika kila siku kuwa boyfriend wake hamkidhi mahitaji yake(sex) nimekuwa nikimshauri awe mvumilivu na ampeleke kwa washauri wa mahusiano lakini kali ni last week alipoanza kuniambia live kuwa hatokuwa na maana yoyote kama hatozaa nami maana ni mwanaume pekee ambaye nimebaki na nafasi katika moyo wake so anachoomba yeye si kurudiana bali niweze kuzaa naye ili iweze kuwa kumbu kumbu yake for rest of her life, kwangu imekuwa ni mtihani sana kwa sababu ya urafiki wetu hata baada ya mimi kuoa. ushauri wenu wanajf

Ndo mwanzo wa kujitafutia matatizo na nyumba kubwa

Mpotezee tu kama vp kazae na nyumba kubwa
 
Kuendelea na ukaribu inaonyesha bado mnahitajiana , kama hutaki kuleta balaa nyumbani ebu weka gap kubwa la mawasiliano. Otherwise fanya kadri roho yako inavyotaka
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom