- Thread starter
- #61
chrispin we acha Binamu usiseme haya mambo yasikie kwa mwenzio
Mtu B mwaya me am zea for u
count on my support please
Asante FL1 na wengine mnaonifariji hivi. Hata ule muda niliopanga kusubiri kabla ya kwenda kupima nimeufupisha nitakwenda soon. Next wk nina safari mkoa mwingine ya kikazi for 2 weeks, nitatumia mwanya huohuo kutembelea kituo cha VCT. Lakini bado najisikia sitaki nikutane na ninayemjua huko kituoni.