Juzi mmetimuliwa kwenze kamati za bunge kwa kushindwa kuonyesha mchanganuo wa posho zenu.
Niliwaambia kwenye banda lenu wakati wa sabasaba ya kuwa nyie ni highly paid ambao mnashindwa hata kuwatetea hao wanaowalipa.
Mmeshindwa kudhibiti uchakachuaji,mmesababisha nchi ikawa paralzyed kwa mgomo wa wauza mafuta.
Hamtusaidii kitu ni heri mngefutwa tu.
Niliwaambia kwenye banda lenu wakati wa sabasaba ya kuwa nyie ni highly paid ambao mnashindwa hata kuwatetea hao wanaowalipa.
Mmeshindwa kudhibiti uchakachuaji,mmesababisha nchi ikawa paralzyed kwa mgomo wa wauza mafuta.
Hamtusaidii kitu ni heri mngefutwa tu.