EWURA waridhia kupandisha bei mafuta, bei mpya hizi hapa!

Status
Not open for further replies.
2subiri hyo bei mpya ope wauza mafuta hawatagoma kwamba bei imepanda sn
Tetee!Haaaa impocbo bt EWURA nao cwaelewielew
Ok!2wasubiri
 
Ewura wamesema kuanzia kesho watapandisha mafuta kwa zaid ya 5%, wamsema uamuzi huo umefikiwa kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi, hata hivyo wamewatoa wananch wasiwasi kuwa hali hiyo itadumu kwa muda wa wiki mbili tu. Source: habari itv 08:00
 
Kuanzia kesho bei yapanda Petroli lita 2100/= Disel 2030/= na Mafuta taa 2005/= kwa Dar. Mikoani sijui. Chanzo TBC Taifa saa 2
 
Ama kweli siku ya kufa nyani, miti yote huteleza. Juhudi za CCM kujinasua mbele ya wananchi bado mziki. Suala la kudhibiti bei ya mafunda limewashinda km walivyoshidwa kujivua magamba. Habari zinasema EWURA wamepandisha bei ya mafuta kwa asilimia tano ndani ya wiki mbili-danganya toto. Kikwete ajitokeze hadharani atangaze kuizuru halafu akili dhambi kuwa nchi imemshinda aseme amehongwa na hawa wafanya biashara kwenye kampeni zake ili kujazilizia hela ya ufisadi.
 
Ng'ombe wa masikini kweli hazai. Baada kushushwa bei ya mafuta kwa wiki 2 sasa kuanzia kesho j3 yamepandishwa tena. Ajabu siku walizoshusha mafuta hayakupatikana, na pale yalipopatikana yaliuzwa zaidi ya sh. 3500= sasa kodi zilizoshushwa manufaa yake iko wapi? Kama ni maisha bora sasa yanakuja. Naomba kamba nijinyonge! (Source RFA)
 
jamaa wamekuwa fasta kupandisha eti baada ya taarifa ya habari TBC nimepita lake oil ya kijichi wameshaweka bei mpya wakati walmesema bei inaanza kutumia kesho, bongo kweli noma.hakuna utaratibu kabisa
 
Umejua sasa rizi 1 alienda dodoma kufanya nini eeehhh???yaani uongozi ukichanganya na biashara ni shida tupu jamani
 
Hizi bei zinafanya watu kuendesha gari kwa heshima sio sababu ziko mbili tatu nje kila saa unawashwa kuendesha gari lazima ufike muda ujue kupanda basi mazoezi muhimu kwa afya yako sio lazima ukakimbilie kokobichi jinsi ya kupanda basi mazoezi tosha
 
Utawapaje kura 2015 si lazima wakupitishe huku ujue walikukumbuka kwa wikimoja !!
 
sasa 2fanyaje watz wenzangu? coz zis iz too much. haya yote ni matokeo ya uongoz.s legelege wa Jamaa wa magogoni
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">sasa wamewasumbulia nini wananchi.......wangetuacha kama tulivyokuwa.....tulishajizoelea sisi</span></font></font>
<br />
<br />
Serikali legelege ilijaribu kutaka kujitutumua mbele ya wananchi matokeo yake imeishia kuaibishwa na wauza mafuta. Chini ya siku saba tangu wauza mafuta walipolazimishwa kumaliza mgomo, Ewura wamepandishabei karibia na ile ya awali.
Hizi ni dalili za serikali kuzidiwa nguvu na wauza mafuta,si ajabu kukuta serikali iliwaahidi kupandisha bei ili kumaliza mgomo ndo maana wameipandisha haraka.
 
Serikali legelege ilijaribu kutaka kujitutumua mbele ya wananchi matokeo yake imeishia kuaibishwa na wauza mafuta. Chini ya siku saba tangu wauza mafuta walipolazimishwa kumaliza mgomo, Ewura wamepandishabei karibia na ile ya awali.

Hizi ni dalili za serikali kuzidiwa nguvu na wauza mafuta,si ajabu kukuta serikali iliwaahidi kupandisha bei ili kumaliza mgomo ndo maana wameipandisha haraka.

najisikia vibaya sana nchi yangu niliyokuwa najivunia hasa nikiwa nje ya mipaka yake (Kericho) inavyokufa nikiiona........naogopa hata kujivunia utanzania wangu popote......maana nitaonekana kituko......
 
hapo ndio nazidi kuamini kuwa tunaongozwa na vichwa vya wendawa... hii ni aibu kubwa kwa nchi na ni kutudhalilisha sisi wananchi!

hata sina tena la kusema juu ya uongozi wa taifa hili!

Serikali legelege ilijaribu kutaka kujitutumua mbele ya wananchi matokeo yake imeishia kuaibishwa na wauza mafuta. Chini ya siku saba tangu wauza mafuta walipolazimishwa kumaliza mgomo, Ewura wamepandishabei karibia na ile ya awali.

Hizi ni dalili za serikali kuzidiwa nguvu na wauza mafuta,si ajabu kukuta serikali iliwaahidi kupandisha bei ili kumaliza mgomo ndo maana wameipandisha haraka.
 
Ewura wametangaza kupanda kwa bei za mafuta kuanzia leo. Tunarejea kule kule kama awali. Nachositikitika ni kuwa Wabunge walipiga kelele na kuwa na jazba za bure, Ngereja akaja ni matisho kwa wafanyabiashara wa mafuta na kutoa masaa 24, na mikwara mingiii. Sasa Mkurugenzi wa Engen kaibuka kidedea; naanza kuamini kuwa nchi yetu inaongozwa kiujanja-ujanja.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom