Ha ha ha haWewe kama hupendi mapenzi haina haja ya kuchoma masindano yanayokuuwa taratibu cha kufanya leta hospital wakunyofoe kizazi na mayai yote wauzie wakaanga chipsi hapo utakuwa umetatua tatizo lako..ila hutakiwi kwenda msikitini wala kanisani mana utakuwa mnafiki
Tuulize tulio dunia ya leo. ...sio dunia iliyopangwa madaraja kwa ajili ya kunufaisha nafsi zao ....have a nice day my friendSisi tupo dunia ya tatu waulize waliopo dunia ya kwanza uone wako ktk stage gani wao
nadhani wewe ndo ulikosewa kuwekwa kwenye kundi la binaadamuWew ulisha choma hiyo sindano na una mapesa mengi?
Makahaba nao wachome sindano?
Kweli Mungu alikosea kuwaweka wanawake kwenye kundi la binadamu! Hizi akili siyo za binadamu wa kawaida kabisa!!
hayaHaina gharama hiyo baby!!