PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Ewe mwanaJF uliye hapa Arusha,
Ewe mwanaJF uliye hapa kwenye jumba la starehe liitwalo BIG L",
Ewe mwanaJf unayekunywa kinywaji aina ya Sminorf ukichanganya na soda ya Tonic water.
Ewe mwanaJf uliyevaa koti la leather, jeusi na miwani ya kuvunga.
Nakuomba ujitambulishe kwangu, maana ninakuona uko bize na JF tokea ulipofika hapa.
Kwann hamtafuti wenyeji mkija Arusha?
Jitambulishe bana, mi niko hapa nyuma yako napata KONYAGI!
Watu wa A-town hatuogopani bana, acheni hizo!
Nakuckilizia.
Ewe mwanaJF uliye hapa kwenye jumba la starehe liitwalo BIG L",
Ewe mwanaJf unayekunywa kinywaji aina ya Sminorf ukichanganya na soda ya Tonic water.
Ewe mwanaJf uliyevaa koti la leather, jeusi na miwani ya kuvunga.
Nakuomba ujitambulishe kwangu, maana ninakuona uko bize na JF tokea ulipofika hapa.
Kwann hamtafuti wenyeji mkija Arusha?
Jitambulishe bana, mi niko hapa nyuma yako napata KONYAGI!
Watu wa A-town hatuogopani bana, acheni hizo!
Nakuckilizia.