1. Kuongoza serikali ambayo yeye na mawaziri wake kila moja na lwake
2. Kuwa Rais wa kwanza Afrika kushikana mkono na Obama
3. Kutofungamana na kundi lolote ndani ya sisiyemu
Atakuwa amewatoa watanzania kutoka hapa na kuwapeleka pale. (Hayo ni majibu yake siyo yangu).
a. Kwa kujenga barabara kwa kiwango cha lami kupita marais wote tanzania
b. Kuongeza university students enrollments kupita awamu zote za urais tanzania
c. Kupeleka pesa nyingi sana maendeleo wilayani kupita rais yeyote tanzania
d. Kuanzisha mchakato wa katiba mpya na hatimaye katiba mpya by 2015 (major achievement; marai wote walikataa zoezi hili)
d. Kuweka na kusimamia utulivu zanzibar (major achievement hakuna rais aliweza hii kitu wengine hadi waliomba kuzamisha kisiwa)
e. Kupanua uwigo wa vyombo vya habari na uhuru wa vyombo vya habari..watu wanajiachia hadi wanaboa..(new culture imaged)
best president ever in tanzania; bisha sasa kwa hoja tukusikie..