na nikiangalia vizuri barabara hiyo ni nyerere road....may be linatokea quality center...manjidah..hawa sijui hii mihela wanaipataje?au ndo wauza viungo hawa?
yah man....lile gongo la mboto sinza au ubungo....humo ndani miksa vikwapa,harufu za fegi,soksi na midomo kunuka...naliona daladala la mbagala hivi kwa mbali wanaminyana..
au wanazipata kimjini mjini......
au wanazipata kimjini mjini......
hii imenichana mbavu..kama ulikuwepo maana watu wengine akiamka asubuhi anajifikiria yeye tu,.hatufikirii wengine pua zetu..na nikiangalia vizuri barabara hiyo ni nyerere road....may be linatokea quality center...manji
yah man....lile gongo la mboto sinza au ubungo....humo ndani miksa vikwapa,harufu za fegi,soksi na midomo kunuka...
sounds like you into car dealership mtu wangu..wahindi hawendeshagi yale madude mchana,atakuwa mbongo tu huyo..si unajua mambo ya kuchapa..system up windows down.Vogue ya 2010 tena used toka japan bei ya kununulia bila tax si chini ya myamwezi laki moja....huyu mchizi aiseee kitu ya 2012 brand newww
Mbona gari la kawaida sana hilo
Mbona gari la kawaida sana hilo
Vogue ya 2010 tena used toka japan bei ya kununulia bila tax si chini ya myamwezi laki moja....huyu mchizi aiseee kitu ya 2012 brand newww
Kweli eeh