Hiyo risifa yako imepitwa na wakati wale jamaa wanatumia mfumo wa nagravishen 3 .na risiva zetu ni nagravishen 2 .kwa sasa kuna dekoda zao zinauza zinaitwa top tv unalipia kwa mwezi
Hiyo risifa yako imepitwa na wakati wale jamaa wanatumia mfumo wa nagravishen 3 .na risiva zetu ni nagravishen 2 .kwa sasa kuna dekoda zao zinauza zinaitwa top tv unalipia kwa mwezi
Decoda ipi (jina)sh ngapi?na frq na code zake-kuna kipindi flan nilisikia dstv wana uza chnl 25 kwa sh 13500 vp nikinunua hii kuna uwezekano wa kupata etv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.