etv Ndani ya TBC

Chimunguru

JF-Expert Member
May 3, 2009
10,678
4,349
Wadau nimeweka attachment hapo ya Package, jinsi wale wachina walioingia ubia na TBC wanavyokuja kiania yao. Fees yao ilikuipata decoder kuna bei mbili. ukilipa elfu sabini, wanakupa decoder na vifaa vyote mkononi fundi umtafute wewe wa kukufungia, na hata ikiharibika matengenezo yake unagharamia kwa kuwalipa mafundi toka TBC. pia wanakupa antena ndogo ya ndani na month subscription ni tshs 9000 tu kwa mwezi.
Bei ya pili ni ths 127,000 wanakupa decoder na fundi wao anakuja kukufungia hadi home kwako, antena bomba inafungwa nje ya nyumba, ikiharibika unawapigia simu wanakuja kukurekebishia home kwako free of charge. malipo kwa mwezi ni ile ile tshs 9000/-.
Habari nyingine ni kwamba ndani ya hiyo decoder kuna TBC2 ambayo nadhani itakuwa launched very soon, na hiyo ndo itakuwa inaonesha WORLD CUP. Inamaanisha kwamba kama hutakuwa na hii decoder hutaweza ona Kombe la dunia kwenye channel yeyote ya hapa home unless uwe na DSTV. Nimeipenda hii sababu sie wadau wa etv sasa twaweza ifaidi upyaaa though kwa kulipiaa. kwa ufupi itakuwa na channel kama 29 hipi. KITU KIPO LIVE WADAU...........
 

Attachments

  • TBC.pdf
    238.4 KB · Views: 281
Ni nzuri sana hiyo...Faidini watu wa Dar!...huku Mikoani tuko tuko nchi ya jirani!
 
Hiyo attachment mbona ina bei moja yaani Tshs 70,000? 127,000/= iko wp mkuu. ikiwezekana tuwekee tuione.
 
Hiyo attachment mbona ina bei moja yaani Tshs 70,000? 127,000/= iko wp mkuu. ikiwezekana tuwekee tuione.

Haijawekwa hapo kwenye hiyo package, lkn hapo chini ya attachment kuna namba za simu. niliwapigia asubuhi hii na wakanipa hizo details nyingine. kama vipi AMANDA ruka nao hewani watakupa full details
 
Sijakusoma Kandambili, wampongeza Rose Muhando kwa lipi hasa hapa? Clarification pliiz
 
Thanks Chimunguru, Nimeruka nao nimepata same details. Dstv wamekwisha.
 
Wadau nimeweka attachment hapo ya Package, jinsi wale wachina walioingia ubia na TBC wanavyokuja kiania yao. Fees yao ilikuipata decoder kuna bei mbili. ukilipa elfu sabini, wanakupa decoder na vifaa vyote mkononi fundi umtafute wewe wa kukufungia, na hata ikiharibika matengenezo yake unagharamia kwa kuwalipa mafundi toka TBC. pia wanakupa antena ndogo ya ndani na month subscription ni tshs 9000 tu kwa mwezi.
Bei ya pili ni ths 127,000 wanakupa decoder na fundi wao anakuja kukufungia hadi home kwako, antena bomba inafungwa nje ya nyumba, ikiharibika unawapigia simu wanakuja kukurekebishia home kwako free of charge. malipo kwa mwezi ni ile ile tshs 9000/-.
Habari nyingine ni kwamba ndani ya hiyo decoder kuna TBC2 ambayo nadhani itakuwa launched very soon, na hiyo ndo itakuwa inaonesha WORLD CUP. Inamaanisha kwamba kama hutakuwa na hii decoder hutaweza ona Kombe la dunia kwenye channel yeyote ya hapa home unless uwe na DSTV. Nimeipenda hii sababu sie wadau wa etv sasa twaweza ifaidi upyaaa though kwa kulipiaa. kwa ufupi itakuwa na channel kama 29 hipi. KITU KIPO LIVE WADAU...........

Hilo nalo nenooooooooo, ila wa mikoani itakuaje mkuuuu, wadadisi hao wachina kaka tujue zaidi.
 
Wadau nimeweka attachment hapo ya Package, jinsi wale wachina walioingia ubia na TBC wanavyokuja kiania yao. Fees yao ilikuipata decoder kuna bei mbili. ukilipa elfu sabini, wanakupa decoder na vifaa vyote mkononi fundi umtafute wewe wa kukufungia, na hata ikiharibika matengenezo yake unagharamia kwa kuwalipa mafundi toka TBC. pia wanakupa antena ndogo ya ndani na month subscription ni tshs 9000 tu kwa mwezi.
Bei ya pili ni ths 127,000 wanakupa decoder na fundi wao anakuja kukufungia hadi home kwako, antena bomba inafungwa nje ya nyumba, ikiharibika unawapigia simu wanakuja kukurekebishia home kwako free of charge. malipo kwa mwezi ni ile ile tshs 9000/-.
Habari nyingine ni kwamba ndani ya hiyo decoder kuna TBC2 ambayo nadhani itakuwa launched very soon, na hiyo ndo itakuwa inaonesha WORLD CUP. Inamaanisha kwamba kama hutakuwa na hii decoder hutaweza ona Kombe la dunia kwenye channel yeyote ya hapa home unless uwe na DSTV. Nimeipenda hii sababu sie wadau wa etv sasa twaweza ifaidi upyaaa though kwa kulipiaa. kwa ufupi itakuwa na channel kama 29 hipi. KITU KIPO LIVE WADAU...........

Hilo nalo nenooooooooo, ila wa mikoani itakuaje mkuuuu, wadadisi hao wachina kaka tujue zaidi.
 
Wadau nimeweka attachment hapo ya Package, jinsi wale wachina walioingia ubia na TBC wanavyokuja kiania yao. Fees yao ilikuipata decoder kuna bei mbili. ukilipa elfu sabini, wanakupa decoder na vifaa vyote mkononi fundi umtafute wewe wa kukufungia, na hata ikiharibika matengenezo yake unagharamia kwa kuwalipa mafundi toka TBC. pia wanakupa antena ndogo ya ndani na month subscription ni tshs 9000 tu kwa mwezi.
Bei ya pili ni ths 127,000 wanakupa decoder na fundi wao anakuja kukufungia hadi home kwako, antena bomba inafungwa nje ya nyumba, ikiharibika unawapigia simu wanakuja kukurekebishia home kwako free of charge. malipo kwa mwezi ni ile ile tshs 9000/-.
Habari nyingine ni kwamba ndani ya hiyo decoder kuna TBC2 ambayo nadhani itakuwa launched very soon, na hiyo ndo itakuwa inaonesha WORLD CUP. Inamaanisha kwamba kama hutakuwa na hii decoder hutaweza ona Kombe la dunia kwenye channel yeyote ya hapa home unless uwe na DSTV. Nimeipenda hii sababu sie wadau wa etv sasa twaweza ifaidi upyaaa though kwa kulipiaa. kwa ufupi itakuwa na channel kama 29 hipi. KITU KIPO LIVE WADAU...........

hamna channel yoyote ya maana kwenye package yao,kama unaafford dstv afadhali uendelee na dstv tu.
vilevile world cup huwa inaonyeshwa tv za bure world wide,hii haina maana kuwa za kulipia hawaonyeshi,bali hawawezi ku-monopoly broadcast ya world cup coverage,lkn ninavyoijua tz anything is possible.
 
Hii nzuri, nkirudi home naipachika. tatizo ni watu wa mikoani itakuwaje manake kama wanaishi kwa passport na visa. Tido akiwahi kuwasaidia kabla ya kombe la dunia itakuwa safi!
 
Wadau nimeweka attachment hapo ya Package, jinsi wale wachina walioingia ubia na TBC wanavyokuja kiania yao. Fees yao ilikuipata decoder kuna bei mbili. ukilipa elfu sabini, wanakupa decoder na vifaa vyote mkononi fundi umtafute wewe wa kukufungia, na hata ikiharibika matengenezo yake unagharamia kwa kuwalipa mafundi toka TBC. pia wanakupa antena ndogo ya ndani na month subscription ni tshs 9000 tu kwa mwezi.
Bei ya pili ni ths 127,000 wanakupa decoder na fundi wao anakuja kukufungia hadi home kwako, antena bomba inafungwa nje ya nyumba, ikiharibika unawapigia simu wanakuja kukurekebishia home kwako free of charge. malipo kwa mwezi ni ile ile tshs 9000/-.
Habari nyingine ni kwamba ndani ya hiyo decoder kuna TBC2 ambayo nadhani itakuwa launched very soon, na hiyo ndo itakuwa inaonesha WORLD CUP. Inamaanisha kwamba kama hutakuwa na hii decoder hutaweza ona Kombe la dunia kwenye channel yeyote ya hapa home unless uwe na DSTV. Nimeipenda hii sababu sie wadau wa etv sasa twaweza ifaidi upyaaa though kwa kulipiaa. kwa ufupi itakuwa na channel kama 29 hipi. KITU KIPO LIVE WADAU...........

Mkuu nimekukubali, nimepiga hii namba iliyo kwenye advertise na akapokea mdada, kaniambia Moro kitu kinaweza kupatikana ninachotakiwa ni kuwalipa hio 127,000/= kisha waje kunifungia kitu nipate uhondo.Hii naiweka SUA net ili washkaji waipate.Thanx.
 
Kandambili umeamkaje leo ndugu yangu??? HONGERA ROSE MUHANDO au una maana HONGERA TIDO MUHANDO?????

Idhaa zimeingiliana mama, ya ndani iko nje na ya nje iko ndani! Jamaa inaonekana anamzimia sana dada Rose,.....tehetehetehe...mapenzi kikohozi...
 
Back
Top Bottom