klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
unajifanya brazameni,tozi,bishoo halafu hela za starehe unaomba! aaakh! acha izo bana! .tafta kazi ufanye, acha kuturogea mitaji yetu.
aaaah, nani tena huyo mkuu???.unajifanya brazameni,tozi,bishoo halafu hela za starehe unaomba! aaakh! acha izo bana! .tafta kazi ufanye, acha kuturogea mitaji yetu.
njemba flani tu , kifua kikubwa ,madev kwa wingi, akiwa na madem ana mikwala kama afande lakini mbaya yao njemba inadoea KULA KWA JIRANI. aakh wanakera!aaaah, nani tena huyo mkuu???.
muwezeshe basi, wahenga wanasema:
"MTU AKIKUOMBA SAMAKI USIMPE, BALI MPE NDOANO NA MFUNDISHE KUVUA"
hahahaaa, sana mkuu!
hii kali, pole sana!unajifanya brazameni,tozi,bishoo halafu hela za starehe unaomba! aaakh! acha izo bana! .tafta kazi ufanye, acha kuturogea mitaji yetu.
hahaha watu mnachekesha jamani kama anakuomba sana si unampotezea tu
nikimpotezea ataenda kwengine kuendeleza hili tabia lake baya sana la kiCCM (kuomba misaada). bora kama linasoma hapa jf lijirekebishe tu.
deh deh deh! hili litakuwa zali la kuelekea jehanamu.Mkuu inawezekana wewe ni mgumu kuelewa, inawezekana huyo ni katika wale jamaa wa vidole juu na zali limekuangukia wewe!