^ sasa mnailamu CCM kuwa inahusika na vijana wenu kuvuta bangi?
Mwandishin wa mada alisema wanaohudhuria mikatano ya chadema ni vijana wengi wavuta bangi. Kitu ambacho anahitaji kuthibitisha kwa kuwa hakina usahihi. Lakini wachangiaji tumeenda mbele zaidi tukaona kama yeye anaona watu wote ni wavuta bangi, huo ni mtazamo wake. Lakini, hata kam wapo jobless na wavuta bangi, nini chanzo cha hali hii? Unaelewa nini kuhusu wajibu wa Serikali katika kuboresha maisha ya wananchi? Unaposema vijana wenu na wewe una maanisha nini?