UVUMILIVU.......... Sio kwamba babu zetu walikuwa Malaika bali Bibi Zetu Walikuwa Wavumilivu.........
Najua zipo nyingi na ndo nilizoshuhudia lakini cjajua ni ipi inayoongoza? dats my questionSasa siuseme uliyoshuhudia????
Sababu zipo nyingi tu!!!
Nlotaka mnitajie sio nloshuhudia ila ni sababu ipi inayoongoza katika kufanya mahusiano yavunjike?Alio shuhudia eti ni mengi! Huku anataka tumtajie hayo mambo!
Sijamuelewa kabisa!
Wapenzi wengi kufurahiana badala ya kupendanaNingependa kufahamu ni sababu gani ambayo inaongoza kwa couple nyingi kuvunjika? kwani niliyoyashuhudia yanaweza kuwa ya kufungia mwaka.
pia wabibi zetu walikuwa na heshima babu akiongea wanatulia siku hizi bana hakuna iyo kitu we unaongea na manzi naye anaongea hajulikani nani baba nani mama vurugu tupu.UVUMILIVU.......... Sio kwamba babu zetu walikuwa Malaika bali Bibi Zetu Walikuwa Wavumilivu.........
pia wabibi zetu walikuwa na heshima babu akiongea wanatulia siku hizi bana hakuna iyo kitu we unaongea na manzi naye anaongea hajulikani nani baba nani mama vurugu tupu.