Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kuna jamaa mpinga-chadema utazan mpinga-kristo. jamaa huwa namsalimiaga kwa ishara ya habar yako banaa, uku namuoneshea ishara ya V ambayo tunatumiaga cc ma hadi core wa cdm. lakini leo nimsalimia ivo akaj4bu 'wameanza kuwaondoa mmoja mmoja, bado mmoja . . .'. nikamuuliza, wamemndoa nani? akajibu 'hujui, we kaa hivyo hvyo'. dah, amenipamkisha sana. sjui kama ntaenda khanga pati len.