Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Yawezekana we ni mmoja wa wanaojiuliza maswali haya kutokana na mwamko mpya waliouanzisha wanakaya ama maboss wetu hasa wanapotoa ajira..jamaa yangu ameoa mke secretary wa kampuni moja maaruf sasa yule dada ameanza kurudi usiku kazi zimemelemea jaana nikiwa rose garden jamaa anasema mi wacha nilewe tu hivi hawa wake zetu masecretary wanaliwaga sana na maboss..nkamwambia sio wote wanaangalia kama amezeeka awamgusi kama kijana endelea kufanya maombi...nikaona anaenda ****** gafla akatuma msg jamani nilikuwepo..nikasema hivi jamani kwani mkiwa mnawaoa amjui ni masecretary na kama ni kazi zao kwa nini msiwaamini....???anyway mwenye mke secretary anawezatupa uzoefu kidogo nijue kijana ntamsaidiaje leo jion kumpa mawazo