Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Unaweza kukuta mdada anakwambia bwana yangu anamiliki vx v8 wakat gar yenyewe ina no za stk kisa jamaa kamwambia ni gar lake na anamfataga nalo jion kitaa au ni uvivu wakusoma namba
Unaweza kukuta mdada anakwambia bwana yangu anamiliki vx v8 wakat gar yenyewe ina no za stk kisa jamaa kamwambia ni gar lake na anamfataga nalo jion kitaa au ni uvivu wakusoma namba
Labda huyo demu awe below form 4.
Unaweza kukuta mdada anakwambia bwana yangu anamiliki vx v8 wakat gar yenyewe ina no za stk kisa jamaa kamwambia ni gar lake na anamfataga nalo jion kitaa au ni uvivu wakusoma namba
heri usafiri bwana.mwanaume usafiri bwana hata kama ambulace sisi tunafagilia mshika usukani
heri usafiri bwana.mwanaume usafiri bwana hata kama ambulace sisi tunafagilia mshika usukani
una ugeni gani/premium mzima? au mgeni wa mabo ya magariSmile habari yako aise
Mi mgeni hapa naomba unionyeshe njia ya kupita
Nilsiha toa thread imefanana na hio soma https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/227482-hivi-mnajua-au-hamjui-bado.html
Sema dada yangu anatumia masikio. Usitujumilishe wote kwa mfano wa mtu mmoja.
Yani mtu ushindwe tofautisha STK, STJ, DFP, CD plate numbers kuwa si ya mtu binafsi..tena kuna namba za kawaida ni usalama na hawaweki stickers za insurance kwa vioo nk. Mwingine anaweza kuazima gari yard/kwa marafiki kuringishia.
nimekusoma kaka 2wasaidieje hawa wa2Nilsiha toa thread imefanana na hio soma https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/227482-hivi-mnajua-au-hamjui-bado.html