vinaitwa vya kata sababu wanafunzi wanakaa chini. vilevile wanafukuzana kuwahi kuingia lecture rooms kama abiria wanavyogombea kupanda daladala. Wengine wanasikiliza lecture huku wamesimama. sasa pana elimu hapo kama sio kuzalisha vilazasio sahii kusema /kuviita vyuo vya kata kikubwa ni tutoe maoni ni kipi kifanyike ili tuboreshe elimu ktk vyuo ivyo mnavyo viita vya kata kama ni kweli.
vinaitwa vya kata sababu wanafunzi wanakaa chini. vilevile wanafukuzana kuwahi kuingia lecture rooms kama abiria wanavyogombea kupanda daladala. Wengine wanasikiliza lecture huku wamesimama. sasa pana elimu hapo kama sio kuzalisha vilaza
kwani weweunasoma chuo gani????? na elimu ya kukopy ikoje????Ndugu wana jf nashindwa kuelewa,kwanini baadhi ya vyuo wanasema ni vya kata ilihali elimu yetu bado ni kucopy tu?
hapo ebu toa ufafanuziNdugu wana jf nashindwa kuelewa,kwanini baadhi ya vyuo wanasema ni vya kata ilihali elimu yetu bado ni kucopy tu?
kwa hiyo?Temea mate chini, nenda pale UDSM wanafunzi wanajazana mpaka wengine wanamsikiliza lecturer kupitia dirishani