Mwl Mkwaya
Member
- May 20, 2011
- 68
- 7
Wadau naomba tusaidiane, eti nasoma degree ya kwanza, St.Augustine University of Tz( branch ya tabora) sheria ni lazima Utafiti uwe kwa lugha ya kiingereza hata kama unasoma kiswahili. Je inawezekana kufanya utafiki wa lugha kiswahili kwa lugha ya kiingereza! Nisaidieni chururu si ndondondo kwa kidhungu vp??