K kaleju Member Jan 27, 2011 48 2 Nov 4, 2011 #1 Mmmm! Nikweli report ya UNDP inasema ukwel? Make naona thamani ya sh ya Tanzania inaporomoka afu eti uchumi unapanda. Je nikwel?
Mmmm! Nikweli report ya UNDP inasema ukwel? Make naona thamani ya sh ya Tanzania inaporomoka afu eti uchumi unapanda. Je nikwel?
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,491 54,884 Nov 4, 2011 #2 waongo.tanzania imekua kutoka na fasi ya 153 hadi nafasi ya 152 katika nchi 184.congo ndo nchi ya mwisho.mia
waongo.tanzania imekua kutoka na fasi ya 153 hadi nafasi ya 152 katika nchi 184.congo ndo nchi ya mwisho.mia