- Thread starter
- #21
wanajua wako twin n ndo identical. bt mi ctaki aibu ya kuposwa na kuachwa. nnachotaka ni kua nae ili kuficha aibu 2 co kwamba eti kwa vile wanafanana basi naweza kumpenda. ckumpenda b4 ntampendaje leo????????????????Ama kweli duniani kuna mambo.
Anyway, kwani wewe unamfeel na kumpenda kwa dhati huyo twin brother wa X wako au unataka kuwa nae as a case ya kuficha aibu kwenu? Is it serious kwamba kwenu hawajui kuwa X wako ana twin brother identical to him? na kama hawatajua kwa sasa do you think it will last forever kwamba ndiye mchumba wako wa awali?
Jibu hayo maswali ntarudi baadae ku'mark' ndo nikushauri..